Mambo ya JF na zama zake

Ni kweli kabisa mkuu, upo sahihi.
 
server za jf zimebeba mambo mazito hivi? Yelewiii dunia isimame nishuke, mpaka gono heee mmenizidi tabia wallah.
 
wewe penseli wa moto mno mpwaa haupoiiii, matashtiti kama yote.
 
Unajua mm jf nilikua najua ni jukwaa la siasa tu[emoji23]

Ghafla naona post za sijui selfie, mara sijui chit chats.
Hata hayo mahusiano ya antonnia nilikua siyajui kabisa, nimekuja kuona jina lake huko

Yale manyuzi yako ya utumbo utumbo ulikuwa unapost jukwaa la siasa Mh DC? Wewe till now hujui unamtaka nani cute wife or darlin
Estupido
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…