Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
weeh kumbe ni certified dangaji kabisa?, i know there are some whores ila sikumtegemea yeye, duuh!.
Ata sijui uzi unahusu nini, nimekuona wewe tu nikaingia.Kuna nini hapaa uduguuu [emoji851]!
Naomba samaraee nielewe mada kwanzaaa[emoji1783]!
Imenibidi nisome koment after komenti nicheke vizuri hahahaaa..🤣🤣🤣 hataree
Kumekucha
Namie ndo natia maguu saii hebu nipitie koments nione vituko vya jf!Ata sijui uzi unahusu nini, nimekuona wewe tu nikaingia.
Hakika yalikua noma sana!Majukwaa bora JF enzi hizo...
1. Siasa
2. Chit chat (MMU ilikuja kuua hili)
3. JLW
Shem mwanzo selfika ilikua poa sana ilipovamiwa na hekaheka za kushea mi borou iliposhamiri ndio drama zikaanza!Haukua na uzuri wowote, kulikua na unafki na kuogopana tu.
Machoko kweli walikuwepo, mmoja wao ni mwachuluwi confirmed 100%, nilikua nasubiri ajichanganye tu nimlipue
Kwani mahondaw yuko wapi siku hiziWale machangudoa wa 3 weusi waliopewa gono na mzee wa miongozo walikuwa wanamshambulia na vitu vya kijinga in short walikuwa na inferiority complex yule mzee aliwajaza ujinga kumbe walikuwa wanazungukwa bila kujua anyway ndo hivyo tena na zile ratiba zao za kuliwa gym si unakumbuka? [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
UMASKINI NA TAMAA UTAWADHALILISHA MPAKA WATAKAPOINGIA KABURINI [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38]
Anyway yalishapita hayo na kila mtu alishinda mechi zake [emoji1][emoji3526].
Akikujibu nitag mkuu mi mwenyewe simuoni muda humu!Kwani mahondaw yuko wapi siku hizi
Nilipata za kikachero kwamba alikua ni mke wa mwanajeshi na mme wake alikua sudani sasa bwana wa miongozo akachukua utawala akawa anamega tunda la msoja hizi taarifa kama mjeda alizipata sidhan kama mahondaw atakua mzima wa afya leo hiiAkikujibu nitag mkuu mi mwenyewe simuoni muda humu!
Lol!🤔Unajua mm jf nilikua najua ni jukwaa la siasa tu[emoji23]
Ghafla naona post za sijui selfie, mara sijui chit chats.
Hata hayo mahusiano ya antonnia nilikua siyajui kabisa, nimekuja kuona jina lake huko
Hio Y ndio inasimama badala ya nini vilee?? Long time kitambo Lara sijui anaendeleaje huko !It's KLMY
Wee sema kweli?? Lol mbona hatari sana hio🤔!Nilipata za kikachero kwamba alikua ni mke wa mwanajeshi na mme wake alikua sudani sasa bwana wa miongozo akachukua utawala akawa anamega tunda la msoja hizi taarifa kama mjeda alizipata sidhan kama mahondaw atakua mzima wa afya leo hii
Hio Y ndio inasimama badala ya nini vilee?? Long time kitambo Lara sijui anaendeleaje huko !
Unataka kusema ulikua ujui au unajishebedua tu hapo nyuma ya keyboardWee sema kweli?? Lol mbona hatari sana hio[emoji848]!
Pole yake asee !
Santo sana kwa ufafanuzi eightpipo!Yako au Yake inategemea mlengwa nani...