Mambo ya JF na zama zake

Yale manyuzi yako ya utumbo utumbo ulikuwa unapost jukwaa la siasa Mh DC? Wewe till now hujui unamtaka nani cute wife or darlin
Estupido
Hapo chacha!!
kumekucha kumekucha!!!
😂😂😂😂 dah! Yaani nacheka mpk machozi
Fifi emu nije pm unipe huu umbea fisuriiiiii
Shem mshamba_hachekwi kwan wifi ana nini? Mbona toka jana km kachachuka hivii??
 
JF ya sasa ni tofauti na ile ya mwanzo. Sasa wameajiri wataalamu wa kuhariri na kufuta nyuzi zinaszokosoa serikali na kuibua ufisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…