Ngoja nikapike kwanza ntarudi πΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈππππ![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]alisamehee au hakujua.....la mwsiho ili mama Antonia
Hapa patachafuka udugu Nilivo na damu ya kunguni mimi hebu niondoe mshono wangu mimiiiπ€πππ!Udugu naona manyota nyota tu hapa!!! πππ
Ila km kuna kivumbi leoooo!!!
Ifiche hii siri asikae ajue[emoji38][emoji38][emoji38]mlikua mna mahaba kama ya la saba B kila mtu ajue ona sasa madhara yake[emoji16][emoji16][emoji16]jumapil njema dada antoniaNgoja nikapike kwanza ntarudi [emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!
ππππLol!π€
Yanii acha KLM alikua wamoto balaa!Sana nazimiss hizo pipo sana!!
Kuna story moja ya KLM nilihisi anasimulia maisha yangu aiseeee!!
Usiondoke bana kwan kuna mtu katukanwa? πππHapa patachafuka udugu Nilivo na damu ya kunguni mimi hebu niondoe mshono wangu mimiiiπ€πππ!
Endeleeni shemπ€£Shem emu tulia kwanza tupate ladha π€£π€£π€£
Jf sihamiiiiii uduguuu!!π€£π€£π€£π€£!ππππ
Jf ya moto kumbe mambo yanaendelea piemuni π€£π€£π€£π€£Imenibidi nisome koment after komenti nicheke vizuri hahahaaa..
Jf never boring!π€
Cheka weeee udugu wangu π€£π€£π€£π€£Imenibidi nisome koment after komenti nicheke vizuri hahahaaa..
Jf never boring!π€
Mi nini udugu π€£π€£π€£π€£Shem mwanzo selfika ilikua poa sana ilipovamiwa na hekaheka za kushea mi borou iliposhamiri ndio drama zikaanza!
Jitahidi bana udugu hata kuunga dots bas π€£π€£π€£Mie kingereza nilifeliiigii uduguu hata najulia wapi lolπ€!
Nimekupata mkuu...hakika umesema kweliKama unaona ni sawa kwa mijadala inayohitaji akili kubwa kujadiliwa kwa uchama na ushabiki ni sawa pia. Ila mimi kwangu ni turn off
Kuna kipindi, jf ilikuwa ya moto, watu wanashusha nondo hadi unaona aibu kucomment kwa sababu huna cha kuchangia. Hiyo ndiyo ilikuwa Jf, home of great thinkers
Ila kwa sasa
"Mpumbavu wewe, huna akili, mama anaupiga mwingi, wewe chadomo au mboga mboga, huna unalolijua" Hadi wanaojua wanasusia mijadala
Sasa huo ni ukosoaji au upuuzi, kama wewe unaona sawa ni wewe Ila kwa wengine tunaopenda kujifunza hatuoni kama ni haki
ππ Emu tupe ladhaIfiche hii siri asikae ajue[emoji38][emoji38][emoji38]mlikua mna mahaba kama ya la saba B kila mtu ajue ona sasa madhara yake[emoji16][emoji16][emoji16]jumapil njema dada antonia
Hayanaga mwongozo ya wenyewe waachie wenyeweKama ya la 7B hahah !
Aione Lamomy hii
Tuhame twende wapi kwa mfano?? π€£π€£π€£Jf sihamiiiiii uduguuu!!π€£π€£π€£π€£!
Mahaba who which when weee staki miπ€!Nimeona kumbe watu na mahaba yenu? π€£π€£π€£