Kama unaona ni sawa kwa mijadala inayohitaji akili kubwa kujadiliwa kwa uchama na ushabiki ni sawa pia. Ila mimi kwangu ni turn off
Kuna kipindi, jf ilikuwa ya moto, watu wanashusha nondo hadi unaona aibu kucomment kwa sababu huna cha kuchangia. Hiyo ndiyo ilikuwa Jf, home of great thinkers
Ila kwa sasa
"Mpumbavu wewe, huna akili, mama anaupiga mwingi, wewe chadomo au mboga mboga, huna unalolijua" Hadi wanaojua wanasusia mijadala
Sasa huo ni ukosoaji au upuuzi, kama wewe unaona sawa ni wewe Ila kwa wengine tunaopenda kujifunza hatuoni kama ni haki