Mambo ya JF na zama zake

Hebu nikaendelee kufukiza vizuree dawa ikuingie haswaaa Haya ndo maneno sasa πŸ€“!
Udugu wakinga tuna roho za paka hili dogo sana kwangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hivi wanajua anachonipa chuggaman kwanza? Wanataka niachike watanikojoza wao? 🀣🀣🀣🀣
 
We usife kwanza hebu acha kabisa password ya tigopesa tupate hela ya mazishi siye🀣🀣🀣
🀣🀣🀣🀣 bff na password ya bank nakupa zote kabla sijaaga dunia
 
Udugu wakinga tuna roho za paka hili dogo sana kwangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hivi wanajua anachonipa chuggaman kwanza? Wanataka niachike watanikojoza wao? 🀣🀣🀣🀣
Weee kumbe nawe wapenda kojozwa eeh mfyuuu ile juzi ulijifanya kauzu eti hupendi!
Hapana chezea chugastan nyieee 🀣🀭!

Uduguuu Hebuuu nikarare mimi nisije pigwa hapa na sina nguvu πŸ˜πŸ˜‚!
 
Warumi alifariki? Aisee. alifariki lini?
 
Weee kumbe nawe wapenda kojozwa eeh mfyuuu ile juzi ulijifanya kauzu eti hupendi!
Hapana chezea chugastan nyieee 🀣🀭!

Uduguuu Hebuuu nikarare mimi nisije pigwa hapa na sina nguvu πŸ˜πŸ˜‚!
Anapiga za ki hardcore chuggaman huku ananibembeleza na song la BOBEA 🀣🀣🀣🀣
 
Si ndo hapo? Hata watume video simuachi!!
Wanaume wamebaki wachache wengi pompolipo mlango wa chuma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ukiufungua hauna hurumaaa 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Ifike mahali huu uchonganishi uishe jamani khaaaa kila siku Kuna mpya
 
Anapiga za ki hardcore chuggaman huku ananibembeleza na song la BOBEA 🀣🀣🀣🀣
Ki hardcore lolπŸ˜‹πŸ˜‹πŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£!

Usiku mwema uduguuu mrare unonoooo😴😴
Wacha Nikapumzishe fuvu langu mimii ila jf🀣🀭
 
Ukiufungua hauna hurumaaa 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Ifike mahali huu uchonganishi uishe jamani khaaaa kila siku Kuna mpya
Bff humu mambo ni mengi ss hivi nishakuwa sugu wala hawanitishi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na bwana siwaachii nakaba mpk penalty
 
Udugu ushatamani hivo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulale unono!! Hapo km nakuona unavyombembeleza shem akupige shoo ya ki hardcore πŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈ
 
Bff humu mambo ni mengi ss hivi nishakuwa sugu wala hawanitishi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na bwana siwaachii nakaba mpk penalty
Wananipa wasiwasi kuzipitia hizi request za pm nikimchukua mwanajf humu si itakuwa drama kama hizi jamani khaaa 🀣🀣🀣
Wakati nataka we na kantri muwe washauri wetu wa ndoa 🀣🀣🀣
 
Wananipa wasiwasi kuzipitia hizi request za pm nikimchukua mwanajf humu si itakuwa drama kama hizi jamani khaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakati nataka we na kantri muwe washauri wetu wa ndoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wewe kula chuma hiko bff
Me na honey wangu Sweet Mangi tutawashauri tunawasubiri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si unaona hekaheka tunazokutana nazo na nyingine nazipotezea huko huko piem
Kuna muda mtu anakupm kwaajiri ya kukwambia mambo ya Kantry tu!! Mpk unajiuliza hivi huyu angetujua kwa macho ya nyama si ingekuwa balaaa!!!
Yani jf kila sample zilizopo mtaani na humu zipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…