Mambo ya JF na zama zake

Mambo ya JF na zama zake

Na sisi ambao tulikuwa ni wachunguliaji tu kwa miaka mingi, mnatuchukuliaje?

Mfano mimi nilianza kuingia JF kama guest mwaka 2013! Na nilijiunga rasmi mwaka 2014 kwa kutumia jina langu halisi. Baada ya kuona ninakosa uhuru wa kutoa maoni, nikarudi zangu kivingine huku nikiwa na ID yangu fake mwaka 2019.
Kumbe nilikutangulia kuanza kusoma habari za humu jf maana mwaka unaoanza wewe mimi nilikuwa tayari nipo humu nasoma habari za wakongwe kama akina mzee mwanakijiji. Uwe na heshima na adabu 😄😄😄maana nimekutangulia kuliona jua la humu.
 
Kumbe nilikutangulia kuanza kusoma habari za humu jf maana mwaka unaoanza wewe mimi nilikuwa tayari nipo humu nasoma habari za wakongwe kama akina mzee mwanakijiji. Uwe na heshima na adabu 😄😄😄maana nimekutangulia kuliona jua la humu.
Ulikuwa hujaanza uchawa lkn enzi hizo si eti eeh?lazima wangekujua
 
Kumbe nilikutangulia kuanza kusoma habari za humu jf maana mwaka unaoanza wewe mimi nilikuwa tayari nipo humu nasoma habari za wakongwe kama akina mzee mwanakijiji. Uwe na heshima na adabu 😄😄😄maana nimekutangulia kuliona jua la humu.
Bado haiondoi ukweli ya kuwa mimi kaka yako mkubwa.
 
Wasalam,
Upande wa siasa napo ndugu rutashoba na shemeji yangu Pascal Mayalla nao hawakuwa nyuma hapa nadhani mayalla alikuwa bado hajaanza kupiga mapambio alikuwa akichachafya kweli watawala.
Mkuu shemeji Mla Bata , (shemeji kwa nani?), kwanza nikupongeze, hiki ni kipaji cha usimulizi na uandishi.
Pili nimecheka pale uliposema "alikuwa bado hajaanza kupiga mapambio!"
Kumbe unaona mapambio yangu tuu, lakini zile spana zangu ulikuwa huzioni?

P
 
Wakati huo JF ilikuwa JF sio hii ya kisasa. Kipindi cha uanaharakati na ujana wangu nikiwa na ID tofauti tofauti. Nilikuwa CDM kindakindaki kipindi hiko tukiongoza mashambulizi JF dhidi ya Buku 7 FC baadaye ikawa shidi ya wasaliti akina Arfi, Zitto, Shonza na Mtera Mwampamba.

Hahahaaa, unaharakati uliisha baada ya kuona mahawara na wake za watu Akina Joyce Mukya na Chawa ndio wanateuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali ndani ya CDM. Baadaye Kamanda akageuzia Gia Angani na Dr. Slaa akapigwa na mkewe. Nikajuta, nikafuta ile ID na nikaipa mitandao kisogo hadi kuja na hii ID mpya.

JF sasa ni matusi, ujuaji, kubeza na kupinga kila kitu ila JF kabla ya kizazi hiki cha 1990's to 2000's ilikiwa moto kwelikweli.
Hahahahaha,hiyo JF ilikua moto sana
 
Mkuu shemeji Mla Bata , (shemeji kwa nani?), kwanza nikupongeze, hiki ni kipaji cha usimulizi na uandishi.
Pili nimecheka pale uliposema "alikuwa bado hajaanza kupiga mapambio!"
Kumbe unaona mapambio yangu tuu, lakini zile spana zangu ulikuwa huzioni?

P
hahah shukrani sana shem.
Kwa upande wa spana mbona nimebainisha kabisa mkuu "alikuwa akichachafya sana watawala" hii lipo wazi kabisa wote tunakumbuka.

Shemeji kwa dada yangu "FK", siwezi kumwaga mchele mbele ya hadhara hapa mkuu.
 
Natamani nitaje id yangu lakini maisha yamebadilika nimemiss watu humu ndani.
 
Back
Top Bottom