Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Jukwaa la Wakubwa lirudishwe...na vitoto vyote visiruhusiwe kuingia huko. Libaki Kwa wanachama waliojiunga kuanzia mwaka 2010 kurudi 2006. Adabu itakuwepo.
Nimeshaomba sana hili jukwaa sijui [mention]Maxence Melo [/mention] alipatwa na nini Akagoma kabisa
Jukwaa lilijua kunipa raha lile..