Mambo ya JF na zama zake

Mambo ya JF na zama zake

Nyakati zinabadilika......
Members walikuwa wachache wakati huo, sasa members ni wengi ( kwenye Wengi pana mengi).
Na haya malalamiko sio JF pekee, ni kwenye Forum zote duniani.
Hata ukienda reddit pia wanalia same thing.
Hii inamaanisha nini?
Era yenu imeisha, kuliko kushinda mnalalamika kila siku ni Vyema mkastaafu pia au mka adopt.
Ila there is no going Back, itafika wakati hata sisi wa juzi tutakuwa hatufit kwenye mfumo.
 
Huwa nawashangaa wakongwe wenzangu huwa tunapenda kusema jf ya sasa sio kama ya zamani

Ni hivi sisi tukomae na mada zetu zilizo na content tunazopenda kwani siku hizi tumekatwa vidole hatuwezi kuandika na kuchangia nyuzi za aina hiyo?

Na hawa madogo wa generation z waendelee na mada zao, la sivyo ni kama tunatafuta attention tuonekane sisi ni wakongwe hapa jf

Au tukubaliane na maneno ya mkongwe aliyesema kama vipi tubadilike twende sawa na upepo wa madogo

Kwenye mitandao hakuna mtu ana mamlaka ya kumpangia mwenzake nini acomment au uzi gani aandike

Simple like that
Wapo humu humu ,tui Lao kidogo tu wangebadili ladha ya mchuzi.
 
Ulishafutwa, haupo tena
Ndo ukomee. 😆😅😅😅 Mwaka huu nimewaweza asee nipewe maua yangu tu. 😄
1. Kudislike comment zote ✅
2. Kufunguliwa thread 6 kwa siku na kuongelewa ✅
3. Kufungua id 67✅
4. Kusababisha permanent ban za member 79 ✅
5. Kuratibu vurugu selfika na kusababisha ifungwe ✅.
6. Kusambaza id za wadangaji ✅.
N.k n. K

Oyaaa weeeee 😝😝😝😝😝😝
 
Wewe si ndo DANGAJI KUBWA mule selfika na gono ulipewa
penseli 4 hii imekaaje?
🤣🤣🤣🤣🤣 Aiseee nilichelewa kufika kumbe 😅😅😅😅 nimecheka sana alafu ukintag tag Penseli 4 hivyo.

Yes ni kweli huyu changudoa alipewa gono na mzee wa miongozo pamoja na crew yao. Na Carleen pia japo saivi kaolewa
 
Iki kibibi gagula juzi apo kilikopwa na Glams alidanganywa atapewa laki……….. end of the day kalishwa buku 20
Uwiiiiiii uwiiiii uwiiiiii uwiiiiiii

nilijua tu udangaji unaendelea humu ila uzuri ni kuwa unafanyika PM na huyo gagula mwenyewe ni mgumba kama ulikuwa hujui.

Anatoa mimba kuanzia 2001 wakati yuko form 4.

40+ Lenie Grahams ni kweli haya yasemwayo?.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Daah huu uzi mtamu sijui kwann nilichelewa kuja. Danguchess.

Oya we Fifi Moto 👍👍
 
🤣🤣🤣 Na ukajua nyeusi na nyeupe
Antonnia hataki hata kuisikia selfika sijui ilimfanya nini udugu wangu
Wale machangudoa wa 3 weusi waliopewa gono na mzee wa miongozo walikuwa wanamshambulia na vitu vya kijinga in short walikuwa na inferiority complex yule mzee aliwajaza ujinga kumbe walikuwa wanazungukwa bila kujua anyway ndo hivyo tena na zile ratiba zao za kuliwa gym si unakumbuka? 😝😝😝😝😝

UMASKINI NA TAMAA UTAWADHALILISHA MPAKA WATAKAPOINGIA KABURINI 🤣🤣🤣🤣😆

Anyway yalishapita hayo na kila mtu alishinda mechi zake 😄☺️.
 
Wale machangudoa wa 3 weusi waliopewa gono na mzee wa miongozo walikuwa wanamshambulia na vitu vya kijinga in short walikuwa na inferiority complex yule mzee aliwajaza ujinga kumbe walikuwa wanazungukwa bila kujua anyway ndo hivyo tena na zile ratiba zao za kuliwa gym si unakumbuka? 😝😝😝😝😝

UMASKINI UTAWADHALILISHA MPAKA WATAKAPOINGIA KABURINI 🤣🤣🤣🤣😆

Anyway yalishapita hayo na kila mtu alishinda mechi zake 😄☺️.
Penseli 4 fanya kuamka sasa unisimulie hii movie.. mbona inaonekana kali sana🤣🤣😎
 
Back
Top Bottom