Mambo ya JF na zama zake

Mambo ya JF na zama zake

Si bora angepata goma jipya!!!
Nasikia ana mambo mazito nyuma ya pazia uko 🥹🥹🥹
Ila Jf ina hekaheka khaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wengine uwe unawapotezea tu, ni wapumbavu. Leo sipo vizuri kidogo, kuna siku nitawarudia. Naona wanataka kuleta upumbavu
 
Hawa wengine uwe unawapotezea tu, ni wapumbavu. Leo sipo vizuri kidogo, kuna siku nitawarudia. Naona wanataka kuleta upumbavu

Estupido punguza ukicheche bruh
Uko na manzi pini bado hujielewi na wahuni watakubebea subiri uone……funcuro
 
😂😂😂Nataka nikualike x mass uje kula kuku Sasa ukifa mapema hivo nitakula na nani hebu subir kwanza basi
Naomba namba za majirani zako niwaambie wafiche na kamba zote 😀😀😀
😁😁😁😂😂😂😂! Christmas namie mgeni huko nyie msintanieeee!😂
 
Hawa wengine uwe unawapotezea tu, ni wapumbavu. Leo sipo vizuri kidogo, kuna siku nitawarudia. Naona wanataka kuleta upumbavu
Mnajuana wenyewe bana
Me hiz mambo zenu msiniingize malizaneni
Sitaki kuwapa watu faida hapa
 
But I asked you kama ni dada cute ukagoma
Nitakutumia email yako nimeiona
Me sio cute ila nafanana naye we mwaga maubuyu hayo!! Yale ulionitumia nusu malizia yote 🤣🤣🤣🤣

Ila wanazengo huo ubuyu siwaletei, ntamalizana na mume chumbani imekula kwenu 🤣🤣🤣🤣
 
Me sio cute ila nafanana naye we mwaga maubuyu hayo!! Yale ulionitumia nusu malizia yote 🤣🤣🤣🤣

Ila wanazengo huo ubuyu siwaletei, ntamalizana na mume chumbani imekula kwenu 🤣🤣🤣🤣
A room for you two uduguuu kwakweli mmalizane tu usituletee mambo ya Mahondaw tukapata la kuongoea mjue! 😂😂😂🤣!
 
Back
Top Bottom