Mambo ya kawaida saba lakini yatasababisha ufe mapema

Mambo ya kawaida saba lakini yatasababisha ufe mapema

Unaweza kudhani umekufa kumbe umejiua. Hiki ndio tunatakiwa kuhepuka.
Ukiepuka mambo mengi sana utakua tayari umesha kufa ndani ya nafsi yako hata kama utakua unatembea njiani,

Kufa ni kufa tu hakuna cha kufa mapema wala kufa kwa kuchelewa,kifo hupangwa na Mungu,kuna vichaa wanakula majalalani toka wakiwa vijana hadi wanazeeka,

Love the life u live,
Live the life u love.
 
Ukiepuka mambo mengi sana utakua tayari umesha kufa ndani ya nafsi yako hata kama utakua unatembea njiani,

Kufa ni kufa tu hakuna cha kufa mapema wala kufa kwa kuchelewa,kifo hupangwa na Mungu,kuna vichaa wanakula majalalani toka wakiwa vijana hadi wanazeeka,

Love the life u live,
Live the life u love.
Sawa.
 
Mkuu kila mtu ana siku yake ya kufa aliyoandikiwa na Mwenyezi Mungu kabla ya kuzaliwa! Ile haibadiliki.
Ukisikia mtu amekufa mapema ndivyo alivyoandikiwa! Hata akijinyonga ujue siku yake ilikuwa imefika aliyoandikiwa na Mwenyezi Mungu.
 
Mkuu kila mtu ana siku yake ya kufa aliyoandikiwa na Mwenyezi Mungu kabla ya kuzaliwa! Ile haibadiliki.
Ukisikia mtu amekufa mapema ndivyo alivyoandikiwa! Hata akijinyonga ujue siku yake ilikuwa imefika aliyoandikiwa na Mwenyezi Mungu.
Hii sidhani kama inamstari wowote kwenye maandiko mkuu.

Kuna wengi walidhani wamekufa siku zao zimefika kumbe walijipitisha shortcut ya uhai wao.

Ndio maana ukienda Okinawa Japan au unakuta watu wanaishi miaka mingi. Sio kwamba Mungu amewaandikia waafrika wawe na lifespan fupifupi. Kuna mambo tumeyakubali yamehalalisha kufa nje ya ratiba za mwenyezi.
 
Back
Top Bottom