Mambo ya kawaida saba lakini yatasababisha ufe mapema

Mambo ya kawaida saba lakini yatasababisha ufe mapema

Kifo ni kifo
Unaweza kujitunza kwa kuacha vyote afu unakutana na bodaboda kalewa anakupitia shwaaah unajifia
Ukitembea unawaza kugongwa na bodaboda. Utakufa kwa kugongwa na bodaboda hata kama unaafya iliyopitiliza.

Hii inarudi kwenye sababu namba moja.
 
Ukitembea unawaza kugongwa na bodaboda. Utakufa kwa kugongwa na bodaboda hata kama unaafya iliyopitiliza.

Hii inarudi kwenye sababu namba moja.
Kwahiyo waliokufa na ajali wote walikuwa wanasema wanakufa na ajali? 😂😂😂
We bro miyeyusho, jau sana
 
Bodaboda inayoendeshwa na vijana wamenyoa viduku.

Unatakiwa kupanda bodaboda ya mzu mzima au mtu anayeonekana na yeye yuko siriasi na uhai wake. Hii jamaa mmoja alinishauri ndio naitumia japo yeye ameshadedi kwa ajali ya gari yake mwenyewe.
Endelea kujidanganya ivo ivo mtaani kwangu kuna kijiwe cha bodaboda,asa hapo kijiweni kuna mzee yupo na boda yake
Wateja wamkumbilia yeye wana wakimbia vijana

Asa wasichojua kumbe yule Mzee ndo anajifunzia pikipiki ukubwani
Amemuangusha jirani yangu hadi kamtoa meno ya barazani
 
Mkuu kila mtu ana siku yake ya kufa aliyoandikiwa na Mwenyezi Mungu kabla ya kuzaliwa! Ile haibadiliki.
Ukisikia mtu amekufa mapema ndivyo alivyoandikiwa! Hata akijinyonga ujue siku yake ilikuwa imefika aliyoandikiwa na Mwenyezi Mungu.
Hujui tu,

Zipo Roho za WAFU Huwa zinatangatanga Hadi ufike Ule muda sahihi wa kwenda kutunzwa kunakostahili.
 
Rafiki yangu,mmoja alikuwa anatucheka ss wakata maji.nakutuziaki kweli kweli ooh tutakufa blahbla kibao ye nijuis na maziwa , huku anatamba ananguvu zote kilicho mkuta alikatiza road mwendo wangiri mkia juu,, kakutana na fuso akachia nnya hapohapo Road tulisikitika sana ,,nikawaza nakujiepusha kote kule kimemkuta ndo hichi
 
Back
Top Bottom