Mambo ya kizingatia kama unataka kwenda China kwa safari ya kibiashara

Siku nyingine toa credit kwa muandishi wa andiko maana hivi ni from experience na sio copy and paste tu ndio maana unashindwa jibu maswali vizuri. All in all unaweza kupata mawazo ya Biashara na kujifunza juu ya Biashara China bure kwenye page zangu za Instagram, X na tiktok kama @kelvinkibenje
 
Ndio maana hata kujibu maswali ya watu huwezi acha uchizi
Chizi ni wewe. Swali Gani halijajibiwa? Briefly, Sina muda wa kusoma comments zote, wanao ni quote ndiyo ninaowajibu kwani ndiyo nonaopata notification zao
 
Pia washauri wawe makini na hao wenyeji wa kibongo, maana huwa wanatabia ya kukuongezea bei kwenye bidhaa unazonunua then later wanaenda fata cha juu chao kwa mchina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…