Mambo ya kuepuka kama wewe ni dereva wa Automatic Transmission Car

Mambo ya kuepuka kama wewe ni dereva wa Automatic Transmission Car

Isije ikawa ka copy sehemu kaja kapaste humu halafu ukute hajui hata kinachomaanishwa!
Ni vizur tukawa watu wa kuheshimu mawazo ya wengine coz watu hutegemeana na hutofautiana ufahamu na ujuzi. Acha dharau!!!!!
 
Naomba na mimi kuongezea swali kwenye magari ya Auto kuna kitufe kinaitwa Shift lock, huwa sjui kaz yake wadau anaejua plz
0c75d2edcd3b0b0d7f705162c7a6513e.jpg
 
Naomba na mimi kuongezea swali kwenye magari ya Auto kuna kitufe kinaitwa Shift lock, huwa sjui kaz yake wadau anaejua plz
0c75d2edcd3b0b0d7f705162c7a6513e.jpg
Kazi yake ni kiforce gear kuingia, mfano ukikanyaga breki kubadili gear ikakataa unabofya hicho usikiachie kisha unaweka gia uitakayo, ukiona bado haiingii kuna haja ya kumuona fundi. Au mfano gari haiwaki na unataka kuisukuma basi unabofya hicho na kuieka neutral ili iweze kutembea
 
Kazi yake ni kiforce gear kuingia, mfano ukikanyaga breki kubadili gear ikakataa unabofya hicho usikiachie kisha unaweka gia uitakayo, ukiona bado haiingii kuna haja ya kumuona fundi. Au mfano gari haiwaki na unataka kuisukuma basi unabofya hicho na kuieka neutral ili iweze kutembea
Ahsante mkuu
 
Kwa kifupi naweza kusema maelekezo yako hayajitoshelezi na yanachanganya...heading inahusu "auto" lakini wewe ndani unaelezea "manual"!!
 
Kipengele namba 4. Ulichoongelea kutoka D kwenda R wakati gari linatembea, ulivoeleza sio sahihi,
Tukianzia kwenye gari la manual, wakati linayembea huwezi ingizi revers gear, ukijaribu kuingiza inakwangua sana na kamwe haitakubali kungia, hiyogear ndani ya gearbox inazunguka anticlockwise, hivo ni mpka gari lisimame ndo inaingia"
Tukirudi kwenye mada, hizi gari za outo zimeadvance zaidi kitecnologia na hata kiutendaji, kumbuka hizi gari kwa asilimia kubwa zinaendeshwa na systeam ya umeme, na zinakuwa na controlbox ambayo ndo brain ya gari,
Unavoshift gear ukiwa unaendesha unakuwa ni umeswitch tu umeme ambao utatuma taarifa kwenye controlbox ya gearbox halafu controlbox ndo itaruhusu gearbox kuingage hicho ulicho aply, yote haya hufanyika kwa nukta hiyo hiyo! ( kuna gearbox ambazo zina waya za umeme tu zilizoingia ndani yake, na kuna zenye gear linked pamoja na waya hizi ndo za kizamani kdg)
Kwenye manual ukiingiza revers wakati unaenda mbele, kwa mfano gia ikiingia ama itakata crankshaft au gearbox yote ivurugike ivunje meingear,
Kwa outo yenyewe ni tofauti ( ina akili) haihitaji nguvu wala ushindani, uki apply revers wakati inaenda mbele, itashift vzr tena kirahisi tu, lakini controlbox itaondoa taarifa ya mwanzo (kwenda mbele) na haitatuma taarifa ya pili (revers) kwa sababu tu haijafuata procedure. Hivo gari itabaki NEUTRAL hata ukipoga resi na shifter ipo kwe revera itaendelea kuserereka kwenda mbele. Ni mpaka usimame ushift tena ndo itarespond. Na huu ndo mfumo wake wa kujilinda dhidi ya vilaza!
G.25 Umenichekesha saaana Kaka
 
usikariri wewe dunia ina badilika na technologia in abadilika pia ,je umewahi kutumia smartphone au bado upo na simens ya mkonga ?
Umeongea point mkuu kukariri kubaya sana hajui hizo gari za auto hata vandame anaendesha
 
Back
Top Bottom