Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Mkuu chukua gari hapo manual, endesha mpaka gear namba tatu alafu kwenye kuingia gia namba 4 jifanye kupeleka kwenye reverse (kitakachotokea ni kelele flan - ipo protected waliotengeneza gari wanajua madhara yake ndo maana wakafanya hivyo, the same automatic gear, utasogeza gear zote wakati linatembea lakini reverse itagota)manual rivas inaingia vizuri tu