Mambo ya kuepuka kama wewe ni dereva wa Automatic Transmission Car

Mambo ya kuepuka kama wewe ni dereva wa Automatic Transmission Car

Sasa mkuu mbona mnanichanganya wewe na G.25 yeye amesema ukishift kutoka R kwenda D gari likiwa kwenye motion haina shida linakubali bila hata ya kusimama!!... Which is which?? Ni mimi sijamuelewa au nimeQuote vibaya...mkuu G.25 karibu
Nimekusoma mkuu! Kutoka D kwenda R kuna N. Na N hatukuwa tukiiongelea kwani Hoja iliokuwepo ni kutka d kwenda r. Mkuu ni hivi hizi outto za kisasa zaidi (ikiwa kwenye speed kubwa) ile gear leaver unaweza kuipeleka popote hata kwenye P' na gari halitasimama kama wengi wanavofikiri!
 
Nimekusoma mkuu! Kutoka D kwenda R kuna N. Na N hatukuwa tukiiongelea kwani Hoja iliokuwepo ni kutka d kwenda r. Mkuu ni hivi hizi outto za kisasa zaidi (ikiwa kwenye speed kubwa) ile gear leaver unaweza kuipeleka popote hata kwenye P' na gari halitasimama kama wengi wanavofikiri!
Mh! Hiyo from D to P lazima uue mfumo mzima wa transmission na Engine. Maana unapoweka P kunakuwa na kama chuma ambacho kinakaa katikati ya meno (gears). Ndio maana basi gari ikikaa kwenye P hata uvute na Greda hautapata mzunguko wa tairi. Sana sana gari itasota tu kwa uelekeo wowote ule. Sasa from D to P maana yake meno ambayo kwa muda huo yapo kwenye mzunguko mkubwa halafu ukaweka chuma katikati yake, huo msagiko wake hauna mfano.
 
Ni kiasi cha muda gari litakuwa kimekaa sana hadi itatakiwa kwanza lipashwe moto kabla ya kuliendesha
 
Hii ni kwa kufuta mpangilio wa gia jinsi zilivopangwa mkuu! Na mwendo, kwenye outo ukikosea gari linabaki neutral, unavotumia gia kupunguza mwendo kinachotokea ni badala ya ingine kuendesha gari, sasa ni ingine ndo inayozuia gari lisiende, sasa kama mwisho wa injin ni RPM 6000 na upo kwenye D unaendeshea rpm 3000 ukirudisha kwenye D2 ( changedown) utaona rpm inapanda, sasa kama ukitoka D uko speed ukashusha gia leaver mpaka L. ambapo ikikubali kufanya kazi RPM ya injin italazimishwa kufikia zaidi ya 6000 (ambayo ni nje ya kipimo) haita kubali itajiacha neutral"
Kama ilivo kwa manual, ikiwa gear namba 5 iko speed, ukataka kuingiza namba moja haitakubali, na sababu ni kama ikiingia inaenda kupandisha rpm ya ingin nje kabsa ya kipimo, lazima kimoja kiharibike, injin au gearbox! Kiufupi usiruke gia wakati wa changedown ukiwa kwenye mwendo mkubwa haitakubali iwe manual au outo"
kuna vitu hufaham kumbuka manual haina computer yoyote kwa ajili ya gia zake ukiwa na gar manual kabisa acha hizi semi auto ....naongelea manual manual ukiwa hata namba tano au sita na iko spidi ukaweka no moja au mbili inaenda kabisa ila kitakacho kutokea utakuja kutuadisia ....nishapanda tax mtu akatoa no tano akijua anaweka nne kumbe katupia mbili uzuri mwalim aliwah kanyaga cluth....lilikuwa gari la driving xul ila kilichotokea ni brake moja kidogo tutoke nje uzuri gia box haikuharibika wala chochote maana hiyo no tano haikuwa imekolea spidi ilikuwa kama 50hivi
 
Mh! Hiyo from D to P lazima uue mfumo mzima wa transmission na Engine. Maana unapoweka P kunakuwa na kama chuma ambacho kinakaa katikati ya meno (gears). Ndio maana basi gari ikikaa kwenye P hata uvute na Greda hautapata mzunguko wa tairi. Sana sana gari itasota tu kwa uelekeo wowote ule. Sasa from D to P maana yake meno ambayo kwa muda huo yapo kwenye mzunguko mkubwa halafu ukaweka chuma katikati yake, huo msagiko wake hauna mfano.
Mkuu ile P sio brek! Nakuhakikishia ukiwa speed kubwa kwa bahati mbaya\makusudi ukaweka P, utasikia kimlio flan tu na gari halitasimama kama unavodhani! Na ukiendelea hivo mpaka ukaamua kusimama kwa brek ya kawaida ikiwa hujaitoa P, ile P haifanyi kazi, ukilisukuma gari linaenda" ni mpka uihamishe leaver ndo itaanza ku respond tena. Kwa hizi outo za kisasa pale unaposhift gear ni waya tu za umeme ndo zinazo ingia, kule kwenye gearbox zinaenda comand za kielectronic tu, outo haishindani na dereva, kuna baadhi ya magari wakati linatembea gearleaver inaishia kwenye netral tu kule kwenye R na P panakuwa locked, na niyo ndo protection yao, nyingine zinashift popote unapoipeleka ila yenyewe inachakata kwenye controlbox na ikiona ulichokifanya sio inajiacha neutrol,
Na ikiwa ktk hali hiyo hatarespond chochote! Nyingine itataka uizime halafu uwashe ndo ikubali lakini nyingine itataka tu kushft gear wakati imesimama, inakubali.
 
Sasa mkuu kwenye automatic ukiwa uko kwenye D halafu unaraka urudi nyuma si utasimama kwanza ndio upeleke Gear Lever kwenye R?? au ni automatic ipi wewe unayodhani
Si auto pekee, hata manual sijawahi ona. Hakuna mtu atafanya reverse gari ikiwa mwendo kasi labda awe mtambo!
 
kuna vitu hufaham kumbuka manual haina computer yoyote kwa ajili ya gia zake ukiwa na gar manual kabisa acha hizi semi auto ....naongelea manual manual ukiwa hata namba tano au sita na iko spidi ukaweka no moja au mbili inaenda kabisa ila kitakacho kutokea utakuja kutuadisia ....nishapanda tax mtu akatoa no tano akijua anaweka nne kumbe katupia mbili uzuri mwalim aliwah kanyaga cluth....lilikuwa gari la driving xul ila kilichotokea ni brake moja kidogo tutoke nje uzuri gia box haikuharibika wala chochote maana hiyo no tano haikuwa imekolea spidi ilikuwa kama 50hivi
Ni kweli mkuu na ndo maana nilisema kuwa endapo itaingia na ikasababisha mzunguko wa njini RPM ukazidi ya uwezo wake kitachofuata hapo ni inji au gearbox kimojawapo kiharibike fasta ili kingine kipone!
 
Mbona kama umepiga nyagi ndio ukaandika uzi huu
Konyagi ya wapi tena ndugu yangu...wala hata..fuatilia uzi vizuri utagundua hicho unachotaka kunikosoa kimeelezewa vizuri
 
Anamaanisha usitoe gear no 2 ukaweka D ( na vice versa ) wakati gari iko kwenye motion japokuwa sioni kama ni tatizo ..Mimi huwa ndo ninavyoendesha hivyo miaka yote lakini sijawahi pata tatizo lolote na geabox.. Huwa napenda kuondoka na gear no 2 then ikichanganya natupia D hapo ni murua kabisa..
Upo sahihi ,lakini kutoka kwenye D kwenda namba 2 wakati gari bado upo kwenye mwendo mkali ni makosa makubwa sana.kwani ni sawa na kutoka gear namba tano hadi namba mbili wakati gari ipo kwenye mwendo mkali kwa gari ya manual gear utaua gear box haraka sana, kiukweli unaeza saga meno ya gear ndogo na kuua synchroniser kabisa
 
Upo sahihi ,lakini kutoka kwenye D kwenda namba 2 wakati gari bado upo kwenye mwendo mkali ni makosa makubwa sana.kwani ni sawa na kutoka gear namba tano hadi namba mbili wakati gari ipo kwenye mwendo mkali kwa gari ya manual gear utaua gear box haraka sana, kiukweli unaeza saga meno ya gear ndogo na kuua synchroniser kabisa

Exactly!..
 
kuna hydrolic zinauzwa lts 4 za toyota genuene zinauzwa laki na 20 nimeambiwa ukiweka hiyo bas hufanyi seevise hadi km elf 50 hadi elf 60 je ni sahihi hilo na oil qurtz elf 5000 ni km 5000 je nanyenyewe sawa maana mimi nafanya kila mwezi nafilisha km 3500 au zaid kidogo haifiki elf 4
Mkuu nimekuona! Hilo gari ni aina gani? Ni la mwaka gani mkuu? Kwenye deepstick yake ya gear box ina maandishi mengine yeyote ukiacha michoro ya kuonyesha level? Kwenye kishikio chake pameandikwa nn mkuu?
 
Hii ni kwa kufuta mpangilio wa gia jinsi zilivopangwa mkuu! Na mwendo, kwenye outo ukikosea gari linabaki neutral, unavotumia gia kupunguza mwendo kinachotokea ni badala ya ingine kuendesha gari, sasa ni ingine ndo inayozuia gari lisiende, sasa kama mwisho wa injin ni RPM 6000 na upo kwenye D unaendeshea rpm 3000 ukirudisha kwenye D2 ( changedown) utaona rpm inapanda, sasa kama ukitoka D uko speed ukashusha gia leaver mpaka L. ambapo ikikubali kufanya kazi RPM ya injin italazimishwa kufikia zaidi ya 6000 (ambayo ni nje ya kipimo) haita kubali itajiacha neutral"
Kama ilivo kwa manual, ikiwa gear namba 5 iko speed, ukataka kuingiza namba moja haitakubali, na sababu ni kama ikiingia inaenda kupandisha rpm ya ingin nje kabsa ya kipimo, lazima kimoja kiharibike, injin au gearbox! Kiufupi usiruke gia wakati wa changedown ukiwa kwenye mwendo mkubwa haitakubali iwe manual au outo"
Fact
 
Ni kweli mkuu na ndo maana nilisema kuwa endapo itaingia na ikasababisha mzunguko wa njini RPM ukazidi ya uwezo wake kitachofuata hapo ni inji au gearbox kimojawapo kiharibike fasta ili kingine kipone!
sema huwa amnaga shida mfano gar red line ni 6K rpm afu ukazid kwa ambazo hazina limiter amna kitakachotokea zaid ya sauti kubwa tu ya mngurumo wa injin kuwekwa redline kiasi flani cha mizunguko it doesnt mean ikifika pale inaharibika mda huo ila ni sio safe tu kufika pale ndo wakaeka operating point iwe below 6K
 
Gari zinazotumia injector na Automatic transmission gear huhitajii kustart gari kwa mda mrefu na kuondoka,piga start na chini ya dakika moja anza safari yako
 
Katika gari za automatiki za kisasa kuna D drive, P park, M manual hapa unaweza kuchange gear
D 1 kupanda mlima
 
sema huwa amnaga shida mfano gar red line ni 6K rpm afu ukazid kwa ambazo hazina limiter amna kitakachotokea zaid ya sauti kubwa tu ya mngurumo wa injin kuwekwa redline kiasi flani cha mizunguko it doesnt mean ikifika pale inaharibika mda huo ila ni sio safe tu kufika pale ndo wakaeka operating point iwe below 6K
Mkuu ulivoeleza ni sawa kwa sababu halijaharibika, mfumo wa kupooza ktk gari lolote hukadiriwa kufanya kazi kiukamilifu ndani ya RPM zilizokusudiwa, ( kimfano unaona kinachowasumbua madereva wa rally ni gari kuchemsha) injin ikizunguka zaidi ya ilivokadiriwa ni lazima itapata joto la ziada, likiwa kubwa zaidi (ikizunguka zaidi) madhara yake ni la kwanza ni kuunguza headgasket fasta,
2 cylinder head itapinda
3 piston na sleev zitakamatana\cease.
Na hatua hii ya tatu ikitokea kwenye gari kubwa lenye mzigo likiwa linashuka mlimani ni rahisi zaidi kupasua block kutokana na msukumo mkuwa wa uzito wa mzigo! Utasikia wanasema dereva flan ni noma! Kapiga changedown PISTON ZIMETOKEA MBAVUNI! Hujawai sikia!?
Usiseme haina madhara hata kama ktk hatua hizo 3nilizozielezea hazijatokea,
Ni kwamba chuma kikipata moto wa ziada hupoteza kiasi cha ustahamilivu, hii husababisha piston rings kupoteza tension\weak na kufupisha sana maisha ya injin.
Nilitamani niendelee....!
 
Sijaelewa unaposema usibadili gear wakati mzunguko wa engine ni mkubwa wakati ni automatiki.Na uliposema tusibadili gear ya mbele kwenda ya nyuma moja kwa moja wakati ni auto.
Hebu nifanulie hapo mkuu.
Huyu atakuwa driving school kipindi cha theory, ngoja aje ajaribu vitendo muhimbili tutakuwa tunamsubiri.

Ilo la kwanza hata mi sijamsoma, ila kuhusu gear ya mbele kwenda nyuma ni kwamba, usihamishe ile knob kutoka kwenye D (drive) kwenda R (reverse) wakati gari ikiwa inatembea...
 
Sijaelewa unaposema usibadili gear wakati mzunguko wa engine ni mkubwa wakati ni automatiki.Na uliposema tusibadili gear ya mbele kwenda ya nyuma moja kwa moja wakati ni auto.
Hebu nifanulie hapo mkuu.
Alivokusudia hapo engine ikiwa mzunguko mkubwa mfano uko speed fulani afu ukashusha gear lakini hili ntalielezea na sehemu ya pili gari inapokuwa katika movement ukitaka kuweka opposite gear (from driving gear to reverse gear and vice versa) kwanza simama kabisa kisha ndo ubadilishe
 
Mkuu samahani lakini na uku kwenye automatic naomba nirekebishe baadh ya mambo.

Umesema tuepuke kutumia gear kubwa kama brake kuepusha mchubuko wa kwenye vyuma. Kuna kitu hapa itabidi ukielewe. Kwenye dashboard yako kuna rev gauge, hii inaandikwa 1 mpaka 8 au 9 inategemea na gari yenyewe, hii ni mzunguko wa engine.na huwa zina limit, utaona ukianzia unakuta moja katika rangi nyeupe na ukitizama kule mwishoni utakuta imewekwa nyekundu, hapo kwenye nyekundu panaitwa rev limit, mzunguko wako wa mwisho ambao engine inahimili. kwenye automatic unaweza ukatoka from last gear kushuka chini bila kuathiri gearbox, hapa muhimu ujue tu nishushe mpaka nfapi kutokana na speed ulokuwepo nayo. Mfano uko speed 40km/hr katika gear ya pili, you can safely change down to gear number 1 with no problem. Gear 1 unaweza kuendesha mpaka spidi 60, namba 2 mpaka 120 na namba tatu mpaka 180 (gari ikiwa not tuned hapo). Kwaio ukichanged down according to the proper speed to proper gear hakuna tatizo, tatizo linakuja upo 180 umeshusha namba mbili, apo utakuwa ushachemsha na ushaharibu gearbox. Kwaio kama unashusha kilima, ukiwa kwenye right speed unaweza ukachange down lakini ikifika rev limit lazima ubadili gear venginevyo uishirikishe breki kupunguza mwendo, hii kwa manual car pia, ukishusha kilima kutegemea change down husimami, na utafika rev limit tu itakubidi uchange gear, usipochange gear utachemsha mashine na gearbox yake.

Point nyengine ulizozielezea ni kwa ajili ya manual na automatic kwa pamoja.

Suala la kusubiri engine kupata moto, vimiminika kama oil, hizi zinakuja ba grade, kuna watu wao wakienda madukani wananunua tu oil. Oil zima grade zake, kama utatizama dumu la oil utakuta nambari mfano 5W-40. Hii ni uzito/wepesi wa oil inapokuwa baridi na inapokuwa joto. You can start the car ikiwa in cold condition bila ya tatizo if you have the right oil, ila kama mleta mada alivosema, ni vyema ukasubiri gari ikapata joto lake linalotakiwa (geji ya temperature ikae katikati) for best perfomance. Mana ulaji wa mafuta nao unategemea na hali ya hewa
 
Back
Top Bottom