Mambo ya kufanya ukifumaniwa

Binafsi naamini "victory loves preparation"
Kwa nini ufumaniwe af usijue cha kufanya?
Inatakiwa uwe ushajua kila possible scenario.
Ebo!
 
Nduki utatokaje ndugu, na hapo hao wafumaniaji washakula mchongo na wenye gesti/mapokezi? bora usichepuke, kama tamaa imezidi sana oa, kama mmoja hatoshi bora kuhamia dini ya wavaa kobazi.
Daah
 
Ni kuwa mpole kusubiri huruma za mume wa mtu
 
Na VAT?
 
We ushawai fumaniwa nn
Kilichoniokoa nilitoka kufuata msosi na bia baa ya jirani nikapishana na jamaa na makamera kibao reception wanadai ndo huyu ndo huyu mi nikajidai naongea na simu huyooo nikafika mbele nikamtext bibie kuwa asifungue mlango hata iweje, baadae (palivyotulia) nikamtumia uber.
** guest usijiandikishe kwa jina halisi ikiwa umeiba mke wa mtu
 
Asante kwa tangazo.
 
Inaonekana umzoefu snaa na mission mkuu
 
Hatua za Kishushushu kama za wale jamaa wa Saudia lakini u
Zikafeli. Kumbuka na mwenye mke nae anajipanga vilivyo kama wewe mwizi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…