Mambo ya kufanya ukifumaniwa

Mambo ya kufanya ukifumaniwa

1. Tafuta upenyo, utoke nduki (hata kama u mtupu) ndo pona yako.
2. Usifikirie mali zako ulizoacha eneo la tukio (nguo, simu, begi)
3.Hakikisha umekimbilia sehemu ya siri sana, mfano; Mafia, Bagamoyo (upotee kwa muda).
4. Nenda kwa kiongozi wa dini (Sheikh, Askofu, Padiri, Nabii Gwajizo) ukatubu dhambi ya uzinzi
Bahati mbaya waislam hawamuabudu wala hawatubu kwa mtu kama MAKAFIRI
 
Mie Siwezi Kufumaniwa Mechi Zote Napgia Kwenye Utawala Wangu Akianzisha Anaanzishiwa
 
Ukiona m2 anakimbia kwenye matukio kama hayo ujue huyo ana act filamu sio tukio la ukweli hilo, mkuu kufumaniwa si mchezo yaani kama ndo mara yako ya kwanza kufumaniwa lazima jasho la meno likutoke.
Ila Pale NAMNANI ni kiboko full usiri
 
Back
Top Bottom