seph0408
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 1,180
- 703
Ni bora zigo likamengenywe huko bagamoyo...kusolve hii inshu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bora zigo likamengenywe huko bagamoyo...kusolve hii inshu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yashakukuta mkuu? TehUkiona m2 anakimbia kwenye matukio kama hayo ujue huyo ana act filamu sio tukio la ukweli hilo, mkuu kufumaniwa si mchezo yaani kama ndo mara yako ya kwanza kufumaniwa lazima jasho la meno likutoke.
Yalinikuta mkuu ila kwa bahati nzuri mimi nilifumaniwa na mwanamke niliye kua naish nae tu na sikumuoa so kichambo na mkong'oto aliopata mchepuko si wakitoto .Yashakukuta mkuu? Teh
1. Tafuta upenyo, utoke nduki (hata kama u mtupu) ndo pona yako.
2. Usifikirie mali zako ulizoacha eneo la tukio (nguo, simu, begi)
3.Hakikisha umekimbilia sehemu ya siri sana, mfano; Mafia, Bagamoyo (upotee kwa muda).
4. Nenda kwa kiongozi wa dini (Sheikh, Askofu, Padiri, Nabii Gwajizo) ukatubu dhambi ya uzinzi
HahahahhSema tu,
IT WASN'T ME!! (In Shaggy's voice)
nadhani kule ufufuko na uzima ndio best option................Nenda kwa kiongozi wa dini (Sheikh, Askofu, Padiri, Nabii Gwajizo) ukatubu dhambi ya uzinzi
Nduki utatokaje ndugu, na hapo hao wafumaniaji washakula mchongo na wenye gesti/mapokezi? bora usichepuke, kama tamaa imezidi sana oa, kama mmoja hatoshi bora kuhamia dini ya wavaa kobazi.
Uchochezi huuNduki utatokaje ndugu, na hapo hao wafumaniaji washakula mchongo na wenye gesti/mapokezi? bora usichepuke, kama tamaa imezidi sana oa, kama mmoja hatoshi bora kuhamia dini ya wavaa kobazi.
Huko ni kujidhihirisha kuwa vijana wa dar ndo kazi zao.Yaani hata Mimi wa mwanza nikifumaniwa huku nikimbilie Bagamoyo? Hauko siriazi Mkuu!
Kwa hiyo mkuu Kati ya hao wawili umemuoa nani kihalali???Yalinikuta mkuu ila kwa bahati nzuri mimi nilifumaniwa na mwanamke niliye kua naish nae tu na sikumuoa so kichambo na mkong'oto aliopata mchepuko si wakitoto .
Hivi ile safisha safisha ya Bashite bado wahaya wa tandika na watoa huduma wengine wapo!!
hakuna niliye oa apo ..Kwa hiyo mkuu Kati ya hao wawili umemuoa nani kihalali???