Mambo ya kufanya ukifumaniwa

Mambo ya kufanya ukifumaniwa

Ukiona m2 anakimbia kwenye matukio kama hayo ujue huyo ana act filamu sio tukio la ukweli hilo, mkuu kufumaniwa si mchezo yaani kama ndo mara yako ya kwanza kufumaniwa lazima jasho la meno likutoke.
Yashakukuta mkuu? Teh
 
1. Kwanza lazima umjue Mume wa mwanamke unaeenda kumgonga.
2. Demu asijue kabisa ni wapi mnaenda kutombana. Akingangania kujua mwambie sehemu tofauti kabisa.
3. Kama anatumia smart phone, mkikutana tu, jaribu kwa namna Yoyote kumshawishi simu zenu zizimwe kwa muda wote mtakapokuwa pamoja.
4. Kutana nae mahali kisha mwelekee sehemu ya tukio.
5. Mkitoka na gari lako, msiende moja kwa moja eneo la tukio, kwanza mnekwenda eneo A manashuka kwa gari mnaingia kwa vinywaji faster, kisha mnatoka mnaingia kwa taxi ambayo ulishamwandaa dereva unaemjua.
6. Mkifika eneo la tukio taxi isipaki mkabala. ipaki mbele kidogo kisha mnateremka muelekea kwa miguu.
7. Kulikobaki ni rahisi unaweza malizia mwenyewe.
 
1. Tafuta upenyo, utoke nduki (hata kama u mtupu) ndo pona yako.
2. Usifikirie mali zako ulizoacha eneo la tukio (nguo, simu, begi)
3.Hakikisha umekimbilia sehemu ya siri sana, mfano; Mafia, Bagamoyo (upotee kwa muda).
4. Nenda kwa kiongozi wa dini (Sheikh, Askofu, Padiri, Nabii Gwajizo) ukatubu dhambi ya uzinzi


Mbona unapotosha watu, yaani ukifumaniwa uache mali zako eneo la tukio, hata gari kweli? Na kwa nini uombe ama kutubu kwa masheikh au padre? Kama umeahidiana na mtu mfanye hiko kitendo ni kwa sababu kuna mmoja wenu anakosa haki yake ya ndoa ama nyote mnakosa haki ya ndoa....kwanini utubu dhambi ukiwa mmesaidiana? Nitakuelewa kama unatubu kwa kuwa umebaka mtu ila hii ya kupeana na kuppunguziana maumivu ya kunyimwa, hapa kwa kweli sikuelewi hata kidogo.
 
Yote Hayo ya nini? Natoa bastola, nawaamrisha wote waingie ndani, natumia kama zao za viatu kuwafunga mikono kwa nyuma, navaa nasepa na baby wangu.
 
Nduki utatokaje ndugu, na hapo hao wafumaniaji washakula mchongo na wenye gesti/mapokezi? bora usichepuke, kama tamaa imezidi sana oa, kama mmoja hatoshi bora kuhamia dini ya wavaa kobazi.
Uchochezi huu
 
Yalinikuta mkuu ila kwa bahati nzuri mimi nilifumaniwa na mwanamke niliye kua naish nae tu na sikumuoa so kichambo na mkong'oto aliopata mchepuko si wakitoto .
Kwa hiyo mkuu Kati ya hao wawili umemuoa nani kihalali???
 
Hivi ile safisha safisha ya Bashite bado wahaya wa tandika na watoa huduma wengine wapo!!

Yaani jamaa Katuletea balaa huku.
Wanehamia Zenji wote. Ukifika bwawani na sisiem ni shida.
 
  • Thanks
Reactions: JMF
Back
Top Bottom