Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Leo nimemskia Rais Magufuli akijibu hoja ya Lissu kuhusu CHADEMA kutengeneza Majimbo wakipata madaraka.
Dkt. Magufuli ameeleza kwamba mfumo wa majimbo utakua mwanzo wa mfarakano, japo sielewi mfarakano utatokana na nini maana sioni mifarakano USA, Nigeria, India na nchi zingine.
Sisi kama wapiga kura hatupendi kuona mnajibishana kwenye majukwaa. Tunamuomba baba yetu kipenzi Amri Jeshi Mkuu, Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akubali mdahalo kati yake yeye na Tundu Lissu ili kumaliza sekeseke lililopo.
Dkt. Magufuli ameeleza kwamba mfumo wa majimbo utakua mwanzo wa mfarakano, japo sielewi mfarakano utatokana na nini maana sioni mifarakano USA, Nigeria, India na nchi zingine.
Sisi kama wapiga kura hatupendi kuona mnajibishana kwenye majukwaa. Tunamuomba baba yetu kipenzi Amri Jeshi Mkuu, Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akubali mdahalo kati yake yeye na Tundu Lissu ili kumaliza sekeseke lililopo.