Mambo ya kushangaza kuhusu kujamba

Hizo ni sigara, mahindi ya kuchomwa, viporo vya wali maharagwe n.k.
 
[emoji23][emoji23] mkuu unatofauti gani na wanao jihusisha na vitendo vya kigaidi
Hiyo cha mtoto [emoji1][emoji1][emoji1] kuna siku nilishaachia tena ushuzi kwenye daladala mimi kwa haraka nikashika pua huku nikimuangalia kwa hasira jamaa niliyekaa nae seat moja.... Nilivyogeuza macho kwa abiria wenzangu nilikuta nao wakimuangalia jamaa kwa hasira na wengine wakisema mtu mzima hovyooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mama alijambaga wakati tupo kwenye kikao cha familia. Kimya kikapita kama dakika 3 maongezi yakaendelea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Sisi wakike tuna kile tunakiachia halafu kinapitia kwenye papuchi hasa ukiwa umekaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Mama nimekunyooshea mikono..
Japo ni comment ya zamani.
 
Mimi nilikuwa napiga kazi ofisi fulani hv kuna mfanyakazi mwenzangu tumezoeana mno kupitiliza, yeye huyo huwa anajamba tu haonagi noma, ss katka ile ofisi mteja akija lazima afikie kwangu alafu ndiyo aingie chumba alicho huyo jamaa yng.

Ss cku hyo jamaa yng kaja ofisini kwng tukawa tunapiga story ghafla akamuachia Yusuf km kawaida yake mara mteja akaja jamaa akaenda ofisini kwake mm nikawa kwangu, ile pisi ikaingia ikanikuta peke angu daahh mm mwenyewe ile harufu ilinikera sn yn pisi imekaa imekunja uso kinoma huku inaniangalia kwa hasira daaahh nilijisikia vby sn cku ile aloo [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nimekumbuka kipindi nipo darasa la 6 mwalim alikua anapita kwenye madawati kwa bahati mbaya kuna mtu alijamaba kimya kimya bila kusikika. Wanafunzi na mwalim tukwa kimya, sasa mdada mmoja ambae hawezi mdomo wake akaropoka "mmmmh kuna mtu kashaharibu hali ya hewa". Basi na mwalim akaamua atupige fimbo darasa zima. Kwanini alitupiga??? Kwasababu tulishindwa kuwa wasiri maana alisema hata yeye alisikia ila kwa kuwa tulioharibu hali ya hewa tulishindwa kuvumilia na yeye uvumilivu ukamshinda .
 
Usiombe itokee kwenye daladala alafu uwe umesimama.
Hii ilitokea juzi kmmmk dah nilicheka sana maana kuna mwamba aliamua kulalamika baada ya kupita vishuzi vitatu vya gas kali😅!
Yupo kuna mtu anapumua yani anajamba hapa hapa tunae yani ila anashindwa kuvumilia af hewa nzito yani😅
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan hiv juzijuzi tu nilikua kwa mcheps wangu hlf ni mkuu wa wilaya khaa vile tumekaa tunapiga stori akajamba bhana tena kwa saut aah nikakaushia ila vinanukaaa! Usiku tena tumelala ndiyo natafuta usingizi ash nikasikia harufu kali dah! Nilichukia na tangu siku hiyo simtak tena japo sijamwambia
 
Kuna baadhi ya wanaume wanajamba kwa sauti mbele ya wanaume wenzao .. haipendezi ukijihisi kujamba kama una nafasi ya kutoka toka kajambie pembeni.. mnazinguaga kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…