Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mimi ni mwanaume ila nina girlfriend huwa anafanya hivyo kama wewe 😂Ndio hivyo mwanamke mwenzangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mwanaume ila nina girlfriend huwa anafanya hivyo kama wewe 😂Ndio hivyo mwanamke mwenzangu
Tigo imetoboka kwa mamitiHii ilitokea juzi kmmmk dah nilicheka sana maana kuna mwamba aliamua kulalamika baada ya kupita vishuzi vitatu vya gas kali[emoji28]!
Yupo kuna mtu anapumua yani anajamba hapa hapa tunae yani ila anashindwa kuvumilia af hewa nzito yani[emoji28]
Kuna siku nilipanda hiace, wakati nashuka niliachia ushuzi unanuka hatari... Wakati nikiwa nje huko naona vioo vinafunguliwa kwa kasi, nilicheka sana.
Kuna baadhi ya wanaume wanajamba kwa sauti mbele ya wanaume wenzao .. haipendezi ukijihisi kujamba kama una nafasi ya kutoka toka kajambie pembeni.. mnazinguaga kweli
Kumbe wewe ni mwanamke.Ndio hivyo mwanamke mwenzangu
Sasa akishajamba pembeni akirudi si atarudi na shombo ya ushuzi. Huoni kama bado tatizo halijatatuliwa [emoji1787][emoji1787]
Sikujua, sasa nimejua. Asante kwa maelezo yako mazuri Sana.
Kwanini tunajamba? kwanini "ushuzi" unanuka? Kujamba inaweza kuwa kitendo cha aibu kwa wengi wetu,lakini inaweza kukufanya ujisikie vizuri kujua kwamba ni tendo la kawaida sana kwa mwili wa binadamu kutenda. Kila mtu anajamba,hata Sky Eclat nae hujamba.
1. Kujamba ni nini hasa?
Kujamba kunasababishwa na kubanwa kwa hewa,ambayo inaweza kutoka mwilini kwa njia nyingi. Baadhi ni hewa tuliyoimeza wakati wa kula au k
Haaa haaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakuwa walikimbia kama wale samaki wanavuliwaga kwa sumu [emoji3][emoji3][emoji3]We wakati unaogelea kwenye dimbwi si ndio ulijambaga vyura wote wakahama dimbwi wakaenda kwingine
...hata Wahindi hawana kujinabana bana wapojamba! Huutoa tu Ushuzi kwa raha zao na Mjambaji hupewa Pole na Hata Kupongezwa!Kwa America hiyo ni sifa ila kwa hapa bongo hiyo ni kashfa ingawa hakuna mtu asiyejamba. Vipi kikao kilimalizika kwa Usalama hapo fukweni?
...Toa kitu Yusufuuu huku ukijifanya kusoma gazeti! [emoji23][emoji23]Hapa nilipo nimeubana, sina ujasiri kabisa wa kuuachia, niko na watu ofcn...ushauri tafadhali
mmh!Unalako jambo,si bureWanaume wa dar wakijamba fasta tu wanaenda kutawaza.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kama kwenda haja ndogo ni SHORT CALL.
Haja kubwa ni LONG CALL basi kujamba ni MISSED CALL.