Mambo ya kustaajabisha kuhusu viumbe hawa

Mambo ya kustaajabisha kuhusu viumbe hawa

Fafanua hiyo namba 15.
Wanachukua masaa unayolala mwandamu, Hua ni nane universal sleeping time kisha wanachukua na idadi ya siku uliyoishi duniani. Kila siku moja wanatoa masaa nane, so pia wanachukulia kwamba Lifespan ya wanadamu ni miaka 70 so wanacalculate siku zilizopo katika miaka sabibini kisha wanatoa masaa 8 kisha hayo masaa waliyotoa wanayabadili katika siku mpaka miaka, it's simple mathematics (70x365)
 
6. Asali ndio chakula pekee duniani kisicho jaribu mwili wa binadamu

😂😂😂😂 kisicho jaribu au haribu?? yan kuna mambo alikua na haraka nayo kama anatoa kichwa vile
Pia asali ndo chakula pekee kisichoharibika...ilikutwa asali huko misri yenye miaka zaidi ya 2000
 
ooh asante kwa kunielewesha na kuniongezea maarifa
Ahsante pia,
Mbona kama kavaa koti alafu mbele kafungiwa camera?
Hilo sasa umeona wewe mkuu, ila hiyo ni morphological appearence tu
Ndio boss yani mbegu yake iko kwenye miziz
Bado unazidi kutudanganya, itakua hujawahi kula strawberry. Mara ya kwanza kula zilinishinda kwakua mhegu zipo juu juu kabisa ya tunda sasa unaponiambia zipo kwenye mizizi sielewi.
 
The type of skin on your lips is called MUCOSA, the same skin you can find at your Anus.
Because the lips and the anus are the two ends of the pipe called the alimentary canal.

Najua wengi Leo mtaenda kuhakikisha.
 
The type of skin on your lips is called MUCOSA, the same skin you can find at your Anus.
Because the lips and the anus are the two ends of the pipe called the alimentary canal.

Najua wengi Leo mtaenda kuhakikisha.
Acha hizo chief ohoo! [emoji28]
 
Wanachukua masaa unayolala mwandamu, Hua ni nane universal sleeping time kisha wanachukua na idadi ya siku uliyoishi duniani. Kila siku moja wanatoa masaa nane, so pia wanachukulia kwamba Lifespan ya wanadamu ni miaka 70 so wanacalculate siku zilizopo katika miaka sabibini kisha wanatoa masaa 8 kisha hayo masaa waliyotoa wanayabadili katika siku mpaka miaka, it's simple mathematics (70x365)
We jamaa uko sharp minded mno lazima home wako proudly na wewe sana
 
Hapo kwenye strawberries umedanganya, mbegu za strawberry zinakaa vipi ardhini au ulimaanisha mizizi. Ujweli ni kua strawberry ndio tunda pekee ambalo mbegu huka nje ya tunda sio ndani ya tunda kaa embe,parachiichi,ndizi,Chunga nk nk
Unazungumziaje kuhusu nanasi
 
Back
Top Bottom