Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh Kobe anadharau sana sasa ina maana akichoka kujambia mkuduni anageuzia mdomoni?
Ndio, Jellyfish ndio kiumbe imortal hua hafi bila kuuawa. Lakini yupo pia kiumbe mwingine wengi hatumfahamu. Anapatikana kwenye Quantum realm, yani ni mdogo mdogo sana sana ainaitwa Tardigrade au Water bear. Huyu kiumbe nae hafi, yupo kila mahali unapopafaamu. Kwenye volcan,kwenye gas, kwenye moto,kwenye maji, kwenye matope angani nk nk. Yupo kila mahali na ndio kiumbe pekee anayeshikilia rekodinya kuweza kuhimili na kuishi maisha yoyote yale hatalishi.
View attachment 1603112
Ndio kiumbe mwenyewe, Very scary eehhii picha ndio kiumbe au nini
Ndio kiumbe mwenyewe, Very scary eeh
Huyo yupo kwenye Quantum realm yaani ni mdogo zaidi kuliko hata mra elfu ya atom moja. Ni mdogo sana sana electrical microscope zenye uwezo mkubwa sana ndio wanatumia kumuonasana najuta hata kukitazama
lakini kipo kama kitu kilichotengenezwa
ni kikubwa kubwa kama nini
sasa kwanini wanamwita mnyamaHuyo yupo kwenye Quantum realm yaani ni mdogo zaidi kuliko hata mra elfu ya atom moja. Ni mdogo sana sana electrical microscope zenye uwezo mkubwa sana ndio wanatumia kumuona
Vipi samaki na sisimizi sio wanyama??sasa kwanini wanamwita mnyama
Ahaaa mkuu acha hizo Mara basiThe type of skin on your lips is called MUCOSA, the same skin you can find at your Anus.
Because the lips and the anus are the two ends of the pipe called the alimentary canal.
Najua wengi Leo mtaenda kuhakikisha.
Hapo kwa kobe sijaelewa kabisa coz ata mammals wanapumulia mkundu1. Konokono (snail) anao uwezo wakulala miaka mitatu
2. Polar bears wote duniani wanatumia mkono wa kushoto
View attachment 1603075
3. Physical ni vigumu kwa nguruwe kuweza angalia angani
View attachment 1603077
4. Hydra. Awa ndo viumbe pekee vya makini ambayo huwa avipotezi uhai. Uwa wana replace Seli zilizo kufa kwa kujitengenezea seli mpya
View attachment 1603081
5. Tembo ndio mamalia pekee duniani asiye weza kuruka
View attachment 1603083
6. Asali ndio chakula pekee duniani kisicho haribu mwili wa binadamu
View attachment 1603084
7 strawberry ndio Tunda pekee duniani lenye mbegu ardhini ila sio kwenye tunda
View attachment 1603086
8. Majina common duniani ni Mohamed
9. Bullet proof yakwanza vumbuliwa duniani ilivumbuliwa na muuza cheese mare kaniambia ambae alidunguliwa mara mbili naku poa akaanza a tengenezee bullet proof yake
10. Kwa Kiingereza manara yote duniani yameishia alfabeti iliyo anzIA
11. Mao wa China hajawai kubrash meno yake kipindi cha maisha yake
..naisi ata mate ajawai pewa na walimbwende wa China
12. Msuli imara mwilini ni wa ulimi
13. Kamwe binadamu huwezi jiuwa kwa kujiziba pumzi..
14. Kama ilivyo kwa fingerprint. Vivyo hivo ilivyo kwa ulimi. Kila binadamu anayo unique print yake kwenye ulimi.
15. Kikawaida, binadamu wa kawaida hulala miaka 24
16. Kobe ndio mnyama pekee ambae akichoka pumua kwa mdomo anapumulia mkundu
Karibu tujuze unachokijua ambacho kimefanyiwa research
NO research no right to talk
hao wakubwa kubwaVipi samaki na sisimizi sio wanyama??
Okey goodWanachukua masaa unayolala mwandamu, Hua ni nane universal sleeping time kisha wanachukua na idadi ya siku uliyoishi duniani. Kila siku moja wanatoa masaa nane, so pia wanachukulia kwamba Lifespan ya wanadamu ni miaka 70 so wanacalculate siku zilizopo katika miaka sabibini kisha wanatoa masaa 8 kisha hayo masaa waliyotoa wanayabadili katika siku mpaka miaka, it's simple mathematics (70x365)
Ni kweli, hua tunawaita wanyama kwasababu wote hao wanaangukia kwenye kundi la Kingdom Animalia. Tutapokuja kuwatofautisha ni kwenye phylum huko. So technically huyo mdudu ni mnyama sio mmea wala fungihao wakubwa kubwa
Mamalia gani anapumulia mkundu au unazungumzia upumuaji gani wewe?Hapo kwa kobe sijaelewa kabisa coz ata mammals wanapumulia mkundu
Uko vizuri kwenye classification.Ni kweli, hua tunawaita wanyama kwasababu wote hao wanaangukia kwenye kundi la Kingdom Animalia. Tutapokuja kuwatofautisha ni kwenye phylum huko. So technically huyo mdudu ni mnyama sio mmea wala fungi
Ahsante mkuu, Physics biology na Eng ni masomo niliyokua napenda zaidi mkuu.Uko vizuri kwenye classification.