Burungutu lebba
Senior Member
- Jul 31, 2012
- 168
- 168
Hapo kwenye tembo ndio mamalia pekee asieweza kuruka sio kweli kabisa..peter msechu hawezi kuruka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha... Hata kutema mate hawezi yule.Hapo kwenye tembo ndio mamalia pekee asieweza kuruka sio kweli kabisa..peter msechu hawezi kuruka
17. Nguruwe ndiye mnyama anayeliwa zaidi duniani1. Konokono (snail) anao uwezo wakulala miaka mitatu
2. Polar bears wote duniani wanatumia mkono wa kushoto
View attachment 1603075
3. Physical ni vigumu kwa nguruwe kuweza angalia angani
View attachment 1603077
4. Hydra. Awa ndo viumbe pekee vya makini ambayo huwa avipotezi uhai. Uwa wana replace Seli zilizo kufa kwa kujitengenezea seli mpya
View attachment 1603081
5. Tembo ndio mamalia pekee duniani asiye weza kuruka
View attachment 1603083
6. Asali ndio chakula pekee duniani kisicho haribu mwili wa binadamu
View attachment 1603084
7 strawberry ndio Tunda pekee duniani lenye mbegu ardhini ila sio kwenye tunda
View attachment 1603086
8. Majina common duniani ni Mohamed
9. Bullet proof yakwanza vumbuliwa duniani ilivumbuliwa na muuza cheese mare kaniambia ambae alidunguliwa mara mbili naku poa akaanza a tengenezee bullet proof yake
10. Kwa Kiingereza manara yote duniani yameishia alfabeti iliyo anzIA
11. Mao wa China hajawai kubrash meno yake kipindi cha maisha yake
..naisi ata mate ajawai pewa na walimbwende wa China
12. Msuli imara mwilini ni wa ulimi
13. Kamwe binadamu huwezi jiuwa kwa kujiziba pumzi..
14. Kama ilivyo kwa fingerprint. Vivyo hivo ilivyo kwa ulimi. Kila binadamu anayo unique print yake kwenye ulimi.
15. Kikawaida, binadamu wa kawaida hulala miaka 24
16. Kobe ndio mnyama pekee ambae akichoka pumua kwa mdomo anapumulia mkundu
Karibu tujuze unachokijua ambacho kimefanyiwa research
NO research no right to talk