Haya nmekuelewa VinNi kweli, hua tunawaita wanyama kwasababu wote hao wanaangukia kwenye kundi la Kingdom Animalia. Tutapokuja kuwatofautisha ni kwenye phylum huko. So technically huyo mdudu ni mnyama sio mmea wala fungi
hili ni kweliPia asali ndo chakula pekee kisichoharibika...ilikutwa asali huko misri yenye miaka zaidi ya 2000
wonderfull1. Konokono (snail) anao uwezo wakulala miaka mitatu
2. Polar bears wote duniani wanatumia mkono wa kushoto
View attachment 1603075
3. Physical ni vigumu kwa nguruwe kuweza angalia angani
View attachment 1603077
4. Hydra. Awa ndo viumbe pekee vya makini ambayo huwa avipotezi uhai. Uwa wana replace Seli zilizo kufa kwa kujitengenezea seli mpya
View attachment 1603081
5. Tembo ndio mamalia pekee duniani asiye weza kuruka
View attachment 1603083
6. Asali ndio chakula pekee duniani kisicho haribu mwili wa binadamu
View attachment 1603084
7 strawberry ndio Tunda pekee duniani lenye mbegu ardhini ila sio kwenye tunda
View attachment 1603086
8. Majina common duniani ni Mohamed
9. Bullet proof yakwanza vumbuliwa duniani ilivumbuliwa na muuza cheese mare kaniambia ambae alidunguliwa mara mbili naku poa akaanza a tengenezee bullet proof yake
10. Kwa Kiingereza manara yote duniani yameishia alfabeti iliyo anzIA
11. Mao wa China hajawai kubrash meno yake kipindi cha maisha yake
..naisi ata mate ajawai pewa na walimbwende wa China
12. Msuli imara mwilini ni wa ulimi
13. Kamwe binadamu huwezi jiuwa kwa kujiziba pumzi..
14. Kama ilivyo kwa fingerprint. Vivyo hivo ilivyo kwa ulimi. Kila binadamu anayo unique print yake kwenye ulimi.
15. Kikawaida, binadamu wa kawaida hulala miaka 24
16. Kobe ndio mnyama pekee ambae akichoka pumua kwa mdomo anapumulia mkundu
Karibu tujuze unachokijua ambacho kimefanyiwa research
NO research no right to talk
Sawa boss nikipata swali nitakuja kukuuliza.Ahsante mkuu, Physics biology na Eng ni masomo niliyokua napenda zaidi mkuu.
Swali lolote mkuu waweza uliza
Na wewe umedanganya piaHapo kwenye strawberries umedanganya, mbegu za strawberry zinakaa vipi ardhini au ulimaanisha mizizi. Ujweli ni kua strawberry ndio tunda pekee ambalo mbegu huka nje ya tunda sio ndani ya tunda kaa embe,parachiichi,ndizi,Chunga nk nk
Kwa hivyo strawberry ni tunda pekee lenye mbegu nje? Kama ulivoandika kwenye post yakoCcs,,pl
Mm sijakosea mkuu nimesema hivo kwa mujibu wa post ya Mleta mada. Cha msingi ni kumkosoa yeye
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ngoja nirudi kufanya uchunguzi kwa umakiniUshamuonaga ngombe akinguruma uwa lazima aangaliie juu
Tembo hawezi ruka labda uliona remix
Lakini ndiyo umekuja duniani kupitia wao Chifu.baadhi ya wanawake wapo kama kobe
"Ujuaji mwingi mbele giza" Mzee BabaWeka vyako vinavyo landana msomi
Ng'ombe anaruka vizuri sana, tuulize sisi ambao tumechunga ng'ombe afu ukute ameshiba hataki kuingia zizini, ataruka vizuri sana kama zizi ni fupi kwa urefu wa kwenda juu.hata ng'ombe kuangalia just hawezi.tembo kuruka anaweza akiwa anakimbia japo kwa kina kifupi
Upo vizuri upstairs .. MaashaAllah!Wanachukua masaa unayolala mwandamu, Hua ni nane universal sleeping time kisha wanachukua na idadi ya siku uliyoishi duniani. Kila siku moja wanatoa masaa nane, so pia wanachukulia kwamba Lifespan ya wanadamu ni miaka 70 so wanacalculate siku zilizopo katika miaka sabibini kisha wanatoa masaa 8 kisha hayo masaa waliyotoa wanayabadili katika siku mpaka miaka, it's simple mathematics (70x365)