Mambo ya kuzingatia kwa wanunuaji wa used fridge

Ivi mkuu compressor mpya shngap ninafriji apa limezngua compressor
 
Nijulishe kuhusu compressor mkuu mana nackia kuna compressor mpya nazamtumba ..Friji yangu imezingua compressor
 
ni kweli 50W inalamba 1 unit ndani ya 20 masaa, hapa ikiwa mpyaa kiongozi

ikiwa kuukuu (used) inalamba unit mpaka 3 ndani ya siku moko! izo calculation za units = watts in kW x time in hours, hazi apply tena!
Hapa nahisi friza langu ndio linanifanya mbaya coz linakula sana umeme. Hivi naweza kufanya nn ili lisile sana umeme
 
Vipi kwa frezer mkuu. Nayo haitakiwi kuzimwa zimwa? Je nayo ina thermostat?
 
Mkuu naomba kuuliza, Nina freezer yangu kwa chini imepata kutu nifanyeje?
Imeanza kulika kabsa
 
Mkuu hiyo kutu uliondoa vipi kwenye kifaa chako? Maana hata mimi huku nasumbuliwa na tatizo kama hili
 
Kikubwa ni compressor tu kama ni nzima kwa maana ya kufanya kazi basi maana ivyo vingine ni vya kawaida kigharama na gharama zake ziaakisi maisha halisi ya mtanzania
Mkuu friji yangu nikiwasha inazima Tena inipiga short mpaka main switch inajizma hii huwa inakiwaga tatizo nini katika uzoefu wako?
Mkuu friji yangu nikiwasha inazima Tena inipiga short mpaka main switch inajizma hii huwa inakiwaga tatizo nini katika uzoefu wako?
 
Mkuu friji yangu nikiwasha inazima Tena inipiga short mpaka main switch inajizma hii huwa inakiwaga tatizo nini katika uzoefu wako?; na hakuna short yoyote nje kweny waya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…