Mambo ya kuzingatia ukifikia nyumbani kwa mtu

Unaandika mavi.

Una uharo kichwani?

Fikiria umetoka Mtwara, umemleta mama yako Muhimbili hospital kufanyiwa Chemotherapy.

Matibabu yanachukua week tatu na siku kadhaa...

Unajua gharama za kukaa lodge siku 40+?

Wakati huo kaka yako amejenga Chamazi
 
Mama Debora za asubuhi?
Hongera kwa mvua ya leo najua kama ulifanya tendo umefurahia kwakuwa kuna ubaridi.
Hongera kwa mawazo yako, hili ni jukwaa huru na unaruhusiwa ila tu lugha walau iendane na JF na pia kama mama na mwanamke mwenzangu:
Lakini haijalishi unauguza ama la , salimia , sepa waachie watu wale maisha yao.
Nakupenda .
 
Umenena yote. Mwenye kusikia na asikie
 
Unazijua gharama za kukaa hotel siku 40+ ukiuguza mgonjwa Muhimbili wewe?
Inategemea mtu na mtu, wapo watu wanaishi hoteli miaka hata mitatu, wanakwenda likizo dubai na mareknai, kila birtday wanazawadiwa magari ya kifajhari, sasa KAMA UMEYAKOSEA maisha -usiwajumuishe watu wote.
 
Namkumbuka Baba yangu Mdogo mmoja akitoka Kijijini anakuja na Vyakula vyake kama Mchele n.k vinapikwa wanakula vikiisha tu anasepa🤠🤠🤠🤠
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…