Mambo ya kuzingatia uwapo safarini

Basi, tuliosoma Cuba kwa balozi Polepole tumeshafahamu hata hicho kipengele ambacho haujakisimulia!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

[emoji23][emoji23] Hakuna kipengele nilichoacha acha kujijengea picha la kutisha
 
13.usisubiri mwisho wa safari kama anashuka katikati?utakosa no...!
no haina formular ya kuombwa either mwanzoni,katikati au mwishoni wa safari.
 
Kulaza siti ni kwa wastani, usiwe mshamba mshamba kama wasukuma bhana. Unalaza siti kiasi kwamba mtu wa siti ya nyuma yako anashindwa hata kutoka kwenye siti yake?

Huo ni ushamba na unatakiwa ujue hilo.
panda vvip.
 
Mwezi ulio pita nlkua naelekea moshi nme panda kweny bus nme kaa na mdada ni mrembo ki ukweli, tatizo lili anzia singida pale alipo anza kurudisha chenchi kupitia dirishani .imagine mtu kila saa ana rudisha chenchi while bus lina enda nli jiskia ovyoo sana na yeye aliona aibu ikabidi ni act normal asiji sikie vibaya lakini moyoni alini kwaza ..
 
Usivae jezi ya Arsenal unaposafiri
 
[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukipanda basi za ABC hakuna huo ujinga wa kuingia na chakula,mnashuka hotelini mnakula vizuri tu mnamaliza ndio basi linaindoka,dk 10 kwa chai,dk 30 kwa chakula cha mchana
Napenda sana utaratibu wa ABC kwakweli
 
Mkuu uka_take advantage kabisa ya hiyo misfortune ya Binti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…