Mambo ya kuzingatia uwapo safarini

Mkuu hata hiyo wastanj unayosema jamaa wanazingua kiasi kwamba inanibidi nisilaze kabisa
Unaonekana ni mshamba, Siti ziko moderate na unaweza kukaa vyema tu, ukiona hivyo hujaishusha kwa wastani. Hakuna mtu atakwazika kwa kuilaza kwa wastani, kwanza muomba wa nyuma yako kuwa unajisikia kulala kidogo hivyo unaomba kuilaza kidogo siti yako.

Most of guys wanaelewa sana.
 
Nikipanda bus nasikiliza mziki nikichoka nalala sitoi earphone, naweza nisiongee Mwanza- Dar
 
1. Salimia unayemkuta kwenye siti maana hujui ya baadae. Inakera hukusalimia halafu baadae unaanza kuuliza "Eti hapa tumefika wapi?" 🙄🙄🙄
Hii ilinikuta uswahilini, niliwapita wakaazi , nilipotelea chochoro, nikatokezea bafuni
Nilivyorudi kuuliza njia nkikaambiwa tulidhani unaenda kuoga tulikuwa tunajadili wa kukuletea maji
 
Shida za kila siku ndio zilimfanya Jamaa wa Moro aingie mitini.
 
Mkuu, hukufidia mateso ya kukaa nusu tako toka Dar hadi Kigoma, ungemuomba hata akunyonye japo kwa kuibia wakati umemfunika shuka ili abiria wengine wasimuone.
 
Jamaa unajua Ku-care. Bonge la movie yaani. Hongera sana.
 
Kama una watoto wadogo zaidi ya mmoja lazima uchukue siti yote ya watu wawili.
Kuna safari nimesafiri na abiria ana watoto wawili na kachukua siti moja.
Ni wasumbufu mmoja anaumwa na kuharisha.
Ikawa sina budi kumpakata mtoto mmoja hadi mwisho wa safari.

Usinywe maji mengi kuepuka usumbufu wa mkojo.
 
8. Usipake pafyumu kali za kukereketa wenzio. Sambamba na hilo piga mswaki vizuri ni kero kukaa na abiria anayenuka mdomo hasa anapokusemesha.
Nyongeza:
Kama hutumii maji kutakasa O unategemea zaidi toilet paper, basi hakikisha usafi wa huo mtaa unakidhi viwango vya TBS

Kama tumbo lako hujaa gas ukila beans, basi siku ya safari kula kitu kisicho na gas ili uepuke kusingizia watoto au majirani hewa inapochafuka.
 
Ukikaa seat moja na wala ugoro wanaotema mate hovyo hasa wamasai au wasukuma kulakula kila kitu hapana, na ukipokea simu ongea kwa sauti ya chini tu
 
Utqf*rwa
 
I wish ungekuwepo uweze kusadiki ninayoyasema, anyway inawezekana me ni mshamba kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…