Subiri kabisa niwawekee: Verse 23: "Walakini uyakatae maswali ya upumbavu yasiyo na elimu, ukijua ya kuwa huzaa MAGONVI"Lakini acha Mungu ajitwalie utukufu, kwani yeye amesema kila alitajaye jina la bwana na aache uovu! I understand your concern lakini pia ubishi juu ya mambo ya Mungu kwa watakatifu ni najisi angalia usije najisiwa na utakapo break the headge basi the serpent will beat you! Acha wafu wazike wafu wenzao....Soma 2Tim 2: 8-26; Lakini ntakupa emphasis kwenye verse 16; 19 and 23-24. Ubarikiwe na bwana.
Leo nimesikiliza kipindi cha matukio WAPO FM nimepatwa na msituko mkubwa. Reporter alikuwa mmoja wa wateja wa babu. Ilipofika zamu yake ya kuhudumiwa aliamua kumuuliza babu maswali machache. Kwanza alimwomba amwonyeshe huo mti anaotumia, akaoneshwa. Lakini akapewa na tahadhari kwamba mti huo una sumu kali sana, na kwamba kama atakwenda kunywa mwenyewe tofauti na pale kwa yule babu mauti yanaweza kumkuta. Masharti ni kunywa dawa inayotolewa na babu, tena chini ya mti uleule uliopo nyumbani kwa babu. Ukisogea hata mita tano tu kutoka kwenye mti huo basi dawa ina-expire na kuwa sumu.
Hebu sasa tumjadili huyo mungu aliyepo chini ya mti wa kutolea dozi hapo Loliondo.
MARKO 13
13:22 Maana watatokea kina Kristo wa uongo na manabii wa uongo, watafanya ishara na maajabu, ili kuwapotosha wateule wa Mungu, kama ikiwezekana.
13:23 Lakini ninyi jihadharini. Mimi nimewaambieni mambo yote kabla hayajatokea.
Hizi zote ni ishara za watu waliokata tamaa na maisha! We fail to invest in better infrastructures, health services, education, roads...etc for our children..na tunaanza kukimbilia Loliondo kutafuta dawa za kututibu ukimwi na kansa! Ama kweli! Umasikini ni kitu kibaya. Lakini ni kibaya zaidi kama ni umasikini wa fikra. I only wish tungekwenda Loliondo kukomboa mbuga yetu aliyogawiwa yule mwaraabu...perhaps angetupa kodi zaidi tukajenga ile barabara ya Arusha-Loliondo!
Kama mnabisha kwamba watanzania tumekata tamaa na maisha angalia vitu kama DECI vilipoingia hata wakubwa wa serikalini waliiba kodi zetu wakaenda 'kupanda mbegu' sijui leo DECI iko wapi...mifano ni mingi jamani
Ushauri wangu kwa watanzania wenzangu: Mafanikio hayana short cut. Huwezi kupata utajiri simply kwa kwenda kwa mganga! work hard and bit of 'luck' money will come. Ni kupenda hivi vitu vya mkato mkato ndo tunazidi kuwa masikini. Unalala..usiku asubuhi unataka uendeshe Lexus! Unless uibe utaipata wapi? Mwanafunzi anashindwa kusoma shule anataka mganga amsaidie kufaulu mtihani! Tunawanyima haki wanachi wetu na kupeleka hela zote uswisi huku wachache wakiishi maisha ya peponi...harafu unakuta hao hao wanasimama kwenye majukwaa wakitwambia twende kanisani kuombea amani ya nchi! Kuna watu wanatufanya tuone kwamba umasikini ni mapenzi ya Mungu kitu ambacho si kweli. Kikwete anaona kabisa DOWANS wanatuibia na wale wahusika kashindwa kuwawajibisha...they have swindled billions in our name....Kikwete huyo huyo anasimama mbele ya TV anatwambia kwamba matatizo ya umeme yanatokana na kazi ya 'Mungu' kwa sababu mvua haipatikani. Twende kanisani/msikitini tukaombe mvua inyeshe tupate umeme!
I Masanja, I refuse to believe in this! Hardwork, determination and discipline will liberate you! I say and I do! Amen!
Tanzania Bila Ushirikina Inawezekana?
kumbuka mfalme naamani alinawishwa tope ..akapona..kulikuwa na majai angewezaomba anawe lakini kwa nini aambiwe tope,,same to mti babu kaonyeshwa mti..
Swali moja tu kwa jamii ya waaminio wasio amini nawa exclude kwasababu language nitakayo ongea hawajajifunza bado...ila kwa wale wanao amini....Atakuja mpinga kristo na kuonyesha ishara na maajabu kwani atapata anointing ile ya high class kutoka kwa Mungu wa ulimwengu huu; Je kama ndivyo utachagua lipi ufe na ugonjwa usiopona au upate uponyaji wa Mungu wa ulimwengu huu ambaye mhuri wake utabaki milele kwenye roho yako maana hiyo dhambi hutakaa uitubu kwani umesha justify kuwa hutendi kosa....
Maana watu wanadai wana mwamini Mungu it can be true Je holly spirit aweza kaa na ugonjwa sehemu moja na bado ukaendelea kubaki? Ndiyo maana ya zile heri tisa...moja wapo inasema heri wanyenyekevu na wapole maana hao watairith nchi...nchi ipi? Ibrahimu anajibu nautafuta mji ambao misingi yake imejengwa na bwan God bless u.Amen
Mtu kama wewe sijui unaelewa maana ya mifano??/ Hiyo mifano yote uliyotoa ndo unataka ulinganishe na ya wagonjwa?? Tofautisha VITA, ADHABU, MAGONJWA ndio urudi! Umechoka sana wewe!
Taarifa nyingine ni za kutunga tuu! si kweli kuwa mchungaji huyu hutolea dawa chini ya mti! Si kweli kuwa hatoki zaidi ya umbali wa mita tano kuwapa watu dawa! Waandishi wengine wapo wapo tu kuupotosha ukweli. Ukweli ni kuwa huwa anatoa dawa mlangoni mwa kibanda chake kidogo akaacho ambacho kiko karibu na anakochemshia dawa na sio chini ya mti kama huyo anayejiita mwandishi anavydai. sii kweli kuwa ukitoka na dawa hiyo huwa sumu ila huisha nguvu ya uponyaji. Fikiria kuwa dawa hii ikitolewa hovyohovyo na kunywewa majumbani! Hatari iliyoko ninyi maadui wake mtaichakachua na kuiingiza katika biashara na mwisho kuifanya sumu ili mumwaangamize mchungaji wa watu. Mimi nilishuhudia akitoka kama umbali wa mita 15 hadi kwenye barabara na kugawa dawa kwenye magari. Anayesema huruhusiwi kutoka umbali wa mita 5 mwongo mkubwa! Taarifa nyingine ni zile zile za kukaa guest house na kuripoti taarifa ndizo sizo. Mimi nimeshuhudia sikuambiwa na mtu. Na kama anabisha mtu na aende akashuhudie na sio bla bla tu!
Inamaanisha hao wote waliopo kwenye hio foleni wameathirika na VVU? Duuh tutapona kweli?
Manake nasikia moja ya sharti ya dawa zake lazima uende physicaly, hakuna kumchukulia au kumbebea mtu kwa niaba.
Nyinyi mnaompinga babu wala c wagonjwa mngekuwa wagonjwa mngekuwa wa kwanza kunywa dawa ya babu,dadangu dena upoooo!
Leo nimesikiliza kipindi cha matukio WAPO FM nimepatwa na msituko mkubwa. Reporter alikuwa mmoja wa wateja wa babu. Ilipofika zamu yake ya kuhudumiwa aliamua kumuuliza babu maswali machache. Kwanza alimwomba amwonyeshe huo mti anaotumia, akaoneshwa. Lakini akapewa na tahadhari kwamba mti huo una sumu kali sana, na kwamba kama atakwenda kunywa mwenyewe tofauti na pale kwa yule babu mauti yanaweza kumkuta. Masharti ni kunywa dawa inayotolewa na babu, tena chini ya mti uleule uliopo nyumbani kwa babu. Ukisogea hata mita tano tu kutoka kwenye mti huo basi dawa ina-expire na kuwa sumu.
Hebu sasa tumjadili huyo mungu aliyepo chini ya mti wa kutolea dozi hapo Loliondo.
MARKO 13
13:22 Maana watatokea kina Kristo wa uongo na manabii wa uongo, watafanya ishara na maajabu, ili kuwapotosha wateule wa Mungu, kama ikiwezekana.
13:23 Lakini ninyi jihadharini. Mimi nimewaambieni mambo yote kabla hayajatokea.
HUYO SI MGANGA, NI MCUNGAJI NA PIA NENDA KAJARIBU KUSOMA MFANO WA NAAMAN yule JEMEDARI WA SHAMU ALIYEPEWA SHARTI NA NABII ELISHA ATUMBUKIE MTO JORDAN, akakebehi na kusema kwani ile mito ya kwetu ABANA NA FARPAR si mito? Kwani lazima nitumbukie JORDAN? Lakini ndivyo alivyotakiwa na baada ya kujitosa JORDAN akapona. 2KINGS 5:12 So , think my friend
mkuu una jina zuri :wink2: hahahaa Nyenyere. Uliwaza nini aisee?