Mambo ya kwa Babu LOLIONDO

Mambo ya kwa Babu LOLIONDO

hahahahahaha ahahahaha ahahah. yaani ni noma, wabongo wengi ni wagonjwa, najua wengi hawasemi, ila asilimia kubwa walioenda huko kwa babu ni ngoma, hahahahahahaaaaaaaaaaaa, nandiomaana husikii waliopona wakijitokeza hadharani

miss x usidhihaki bana...
 
miss x usidhihaki bana...

mwaya mi sidhihaki, unajua wanasema ni watu wengi wameenda, ila sasa cha ajabu hakuna aliyetayari kusema alienda na alikuwa anaumwa nini na amepona au la, sasa kwanini wafiche ugonjwa.
kweli hakuna mtu anayependa kufa
 
Wan JF mi nashindwa kuelew huy police anaumwa nin?Haraf Babu si alikuw amefungiw kwa Muda?Au ndio wamemruhus na kuianzia wao?
 
I cant wait zogo lipungue nikapate kikombe jamani, by the way, babu ana vikombe vingi tu. Kama mwanajamvi unajali nenda na kombe lako!
 
nafikiri hii inatibu zaidi magonjwa mengine na si ngoma. Kuna mtu alikuwa na ngoma akanywa dawa hiyo ya babu lakini alivyokuja kuoima bado ikaendelea kuwa 'reactve' labda kama alikuwa na imani haba
 
hi sasa noma,,kama vip wana jamiii tulianzisheni kwa babu
 
hahahahahaha ahahahaha ahahah. yaani ni noma, wabongo wengi ni wagonjwa, najua wengi hawasemi, ila asilimia kubwa walioenda huko kwa babu ni ngoma, hahahahahahaaaaaaaaaaaa, nandiomaana husikii waliopona wakijitokeza hadharani

Miss X mie avatar yako tu imeniacha hoi, na kama ndio wewe huyo inabidi nikutafute,,......tena na vile Babu wa loliondo anatoa huduma, hatuna hata haja ya kupima!

By the way, usiwacheke watu wenye ngoma.......huo ugonjwa ni hatari...sikia tu kwa watu wengine usiombe ukaukwaa au nduguyo aukwae!
 
Alifuata foleni kweli?! Au alipita mojakwamoja kwa vile anamagwanda?!, walisema ati uiufanya utukutu huponi?!.
 
Kaka, bado tu hujasikia kuwa unatakiwa kuinywa hiyo dawa in his presence, na kwamba ukichukua halafu akaenda kunywea pembeni haifanyi kazi? Then you must be deaf. Watu wangechukuliana kwa vile wengine hawawezi vitandani. Open your eyes and see. Kuponya kwangu si tatizo, I am on the faith part. Je, hayo mafunuo ni ya Mungu nimwabuduye MIMI? Mungu wangu huleta miujiza mingi tu beyond ufahamu wetu. Lakini miujiza yake hudhihirishwa ili imtukuze yeye, iwavute watu kumwabudu yeye tu. Haya sasa linganisha na huo muujiza wa babu wa Loliondo. Je, baada ya kunywa na "kupona" umeondoka ukimtukuza nani?

ISAIAH 42 : 8
I [am] the LORD: that [is] my name: and my glory will I not give to another, neither my praise to graven images
.

Thanks a lot kwa hii useful post!

Inasikitisha jinsi watu wanavyojipa imani kuwa wana mwamini Mungu. Ndiyo maana neno la mungu linatuasa katika 2Tim. kwamba siku za mwisho wengi watatokea wakitenda miujiza na kuleta elimu tofauti na yale tunayoambiwa na holly spirit kama custodian wetu zama hizi Yesu alipotuacha mpaka atakapo rudi mara ya pili...Kwenye hii sura anasema kwa wale ambao shetani amewateka mateka bila wao kujijua basi wainjilist na waalimu na wachungaji tuwafundishe kwa uvumilivu na kuwa ombea na paradventure God will have mercy on them that they will come back to their senses...Lakini kwenye waraka wakwanza kitabu hicho hicho anatuonya tuepuske na mashindano pamoja na kuwasikiliza wale ambao wanajidai wanamwamini mungu huku wakimkana kwa matendo yao wasije wakatuangusha na sisi kwa mafundisho yao ambayo actually source yake ni Ibilisi...Hawa ndiyo wale ambao wengine ni wachungaji wanavuta watu kwa ishara na miujiza lakini sifa na utukufu zinabaki kwao which means kuponya roho kwao siyo priority kwani hainamaslahi sana ya kupata either sifa au fedha...napia hao ndo mara nyingi ukichunguza utakuta ndiyo wazinzi, wala rushwa, waongo na wanafiki huku wakifanya hao matendo kwa siri sana ili wasijegundulika...Hao Mungu anasema tuwaache kwa maana mwisho wao huwa si mbali watakapodhihirika na kuaibishwa pasipo elezeka....

Neno lolote la imani linapaswa kupimwa kabla ya kulipokea maana tumepewa roho mtakatifu kwaajili hiyo...kwanza angalizo general alilolitoa Mungu ni kuwa..amelaaniwa yeye amwaminie mwanadamu; hii ni precaution kwani binadamu kabla ya kufa na kufufuka aweza kuwa na roho ama ya ibilisi au ya roho mtakatifu..Angalizo lingine ni kuwa tuzipime roho. Tunazipimaje ni kwakutumia neno la Mungu je neno la Mungu ni nini? Wengi watasema ni bible ni kweli lakini bible ina maneno yaliyosemwa na Mungu mengine na shetani na mengine na watu binafsi...So neno la Mungu ni lile ambalo kwa reference iliyopo halipingani na kusudi la Mungu la kumtoa mwanaye kufa kwaajili ya dhambi zetu hata tuweze kuupata wokovu ambao bila huo hakuna mwenye damu na nyama anaweza kumwona Mungu. Ni vipi basi neno la Mungu ni kristo mwenyewe na mwenye kulithibitisha neno la kristo ni roho ya kristo mwenyewe maana neno la Mungu linasema hakuna ajuaye mawazo ya mwingine isipokuwa roho ya huyo mhusika...So thats a reason akatupa zawadi ya roho mtakatifu ili tu weze kwanza kujua lipi ni neno la Mungu na ipi ni roho itendayo kazi kwa kusudi la Mungu. Akaongezea kila roho inayokataa kuwa kukiri kwa matendo au kwa maneno au hata kimya kimya kuwa YESU ALIKUJA DUNIANI AKAFA AKAZIKWA AKAFUFUKA SIKU YA TATU na kwasababu hiyo hakuna atakayeweza kumwona Mungu, kutenda miujiza, kutenda mema, kuwa mtakatifu isipokuwa kwa uwezo wa jina lake basi huyo ni mpinga kristo. Inamaana gani? wewe huwezi kuwa ambasoder wa Tanzania bila kuwa asigned na president wa United Republic ya Tanzania..na huwezi kusema kitu nje ya maagizo ya Rais na kila tendo utakalo litenda litakuwa ni kwajina la Rais wa Tanzania kwani ndiye mwenye mamlaka yote ya serikali ya nchi. So jina la Yesu is not just a mere name is has authority it carries with. Kwa hiyo wether wewe ni mtenda dhambi au ni holly ukilitumia jina la Yesu inavyotakiwa linauwezo wa kufanya chochote maana lina authority. Sasa je cha kujiuliza matapeli hawawezi kupata baadhi ya favour kwakutumia jina la Rais? So it is in faith...ndiyo maana Mungu akaweka angalizo siyo kila asemaye bwana bwana ni kweli wa bwana wengine ni matapeli so tusiamini wanadamu na pia tuzipime roho. Ila ukisha pima ukaona huyu fake unajua chakufanya; una mreport kwenye authority ukichukua sheria mkononi inakula kwako. Ndiyo maana akasema ila katika yote tusihukumu wala kulipa kisasi kwani tukihukumu nasi tutahukumiwa kwa kipimo hicho hicho na tukilipiza kisasi tunaweza umizwa so yeye ambaye ni mwenye haki halali wala hasinzi kwaajili yetu. Naye ni mwaminifu atafanya kwa wakati sahihi ambapo hata sisi tutafurahi.

Hitimisho nikuwa kutenda miujiza si kipimo cha utakatifu wa mtenda miujiza japo pia ukiwa mtakatifu miujiza ni chakula cha kila siku. Lakini pia Jina la yesu linatenda miujiza hata kama huyo mtu ni tapeli ili yeye aendelee kuwa mwaminifu kuwa kwa jina la Yesu yote yanawezekana. Lengo la Yesu ni watu wote wapate uzima wa milele miujiza ni sehemu ndogo sana ya lengo la uzima wa milele ndiyo maana emphasis kubwa iko katika kuponya roho na ikipona basi nguvu ya Mungu/roho mtakatifu inahamia hapo na hayo mengine yanakuwa automatic hata bila kunywa concotion au kuwekewa mikono kila siku na wahubiri maana roho wa Mungu ni Mungu kamili na kila palipo na Mungu kunaukamilifu ikiwa pamoja na afya, ukwasi, akili ya kuzidi ufahamu wa mwandamu, busara, upole, unyenyekevu, upendo, amani, utu wema...Yaani matunda ya roho mtakatifu na viambata vyake.

Mbarikiwe na bwana!
 
acha kutufanya sisi ni vihiyo hapa, wewe ungekuwa na ukimwi sijui kama ungekuwa hapa JF sa hivi. Sem ukweli wako mpendwa

UKIMWI hauwezi kukaa pamoja na roho mtakatifu lazima uungue...Tena damu ya Yesu ni bora kuliko damu za wanyama wote sasa itakuwaje wewe unywe damu ya Yesu yenye utakaso virusi vibakie vizima duuh basi Yesu lazima awe mwongo...Ukikiri kuwa Yesu ni mwongo hii kesi inaishia hapa. Lakini ukisema unaamini kabisa akafa akazikwa na alifufuka tena amekaa kuume kwa Mungu....Jaamani mtu yuko mkono wa kuume alafu akasema nanyi ni washirika pamoja na mimi katika ufalme wake tena kiswahili hakiwezi kuelezea maana halisi yaani siyo washirika tu bali fratenity wa hiyo fellowship yaani kama vile wewe leo uwe first lady alafu uogope gari la polisi si lazima utakuwa na hitilafu kwenye ubongo? Hapo ujue unalolifanya linawalakini mbele ya mume wako mpenzi ndiyo maana unawakimbia polisi wake.


If Jesus is true and Amen, diseases and His holly spirit can not dwel together in the same body..siyo kwamba hazitajaribu bali the moment zinaingia ndo kiyama chao..ebu jaribu kuvamia Ikulu na gobore lako uone kama utafika hata gate number moja never...Ikifikia hapo basi na Rais haitwi Amiri jeshi mkuu tena ataitwa kwa jina lake alilopewa na mama yake au na honey wake nyumbani...Usifanye mchezo na kuwa born again not of flesh but of the spirit of God and because of this so are we sons and daughter of God and thats how we are!
 
Back
Top Bottom