WAMURUBHERE
JF-Expert Member
- Apr 21, 2010
- 337
- 25
chema chajiuza kibaya chajitembeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu, ambao wanaaminika kuwa na akili vichwani wanahoji kwanini auze dawa hiyo kama ni maono ya Mungu!!!...
Mi kwa hasira nitawaita hawa wote wa jamii hii kuwa ni WAPUMBAVU!...unategemea mtu huyu ataoperate namna gani kutoa dawa kwa watu wa dunia yote, then asipate hata mkate wa shs.500, na kisha afe kwa njaa?
Mbona wahubiri wanaojiita manabii, wapakwa mafuta, mitume na majina meengi ya kujitukuza, mbona wanapokea fedha nyingi sana za sadaka toka kwa waumini wao, kwanini wanamwonea wivu babu kuchangisha siing 500 tu?
Sasa mtu atatoa huduma hiyo BURE, kwa muda gani, maana huduma hii inaonekana itakuwa ya kudumu!
Walalamishi hawa wamepoteza heshima mbele ya jamii, maana wanaonekana wamejaa wivu sana kwa babu!
Wataendelea kusema sana, lakini dawa inatolewa, inaponya, na mwishowe wenyewe watashuka kwenye madhabahu zao na kwenda kutibiwa!
nakuunga mikono na miguu pakajimmy
mmhh
hizi stori za lolliondo zimekuwa nyingi sana humu JF
na hata sielewei ..
kuna mtu ambaye anaweza kunielewesha ni nini kinaendelea huko???
tafadhali usinijibu kama huna nia ya kunijulisha
AD.....
lakini umeambiwa kuwa ile pia ni kinga hivo si vibaya kunywa tu.......................
na hapo nani mchawi wa mwenzie
polen mkuu najua sio utan ila namie nikaona nikupe kisanga kilichotokea..polen sana sanas huyo babu namfahamu nimeona na jina lake wakati wakimtafuta ndugu zake kwenye magazeti polen sana sana
Mungu aw\atie nguvu mmmhhhuuzuni
Tahadhari! Hebu tujiulize. Hivi dawa ya babu kama ni sumu ya kuondoa pole pole itakuwaje? Nani anajua athari zake? Huyu Babu mwenyewe umri umeenda inawezekana akili zake zimeanza kupoteza majira lakini kila mtu anakimbia huko.
Hiii sii hoja hoja ni kwamba Hivi kweli watanzania uwezo wa kufikiri umefika mwisho?
Hivi tutaendelea kubahatisha mambo mpaka lini? Wasomi wako wapi?Madaktari nao wamefta mkia kama Kakobe? Je? Serikali nayo inaongozwa kwa bahati nasibu.Madhara yakitokea watatuambia JANGA?
Kwa staili hii tusitegemee kupata maendeleo kwa lolote katika nchi hii. Na ninani alaumiwe kwa hili?
CHUKUA HATUA LEO USISUBIRI KESHO.
Poleni watanzania mtakaodhurika na mogariga.
Tusamehe bure maana huyu ni moja wao wa hao tacadis ambao wapo tayari watu wafe kuliko dawa ipatikane,we ni KILEMA kweli