Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kanywe dawa. Usihofu. Kwani siku mchungaji akisema wasiokunywa dawa watakufa wewe utafanyajaje?
Kwa kipindi kifupi,Mchungaji mstaafu wa KKKKT ameweza kujipatia umaarufu mkubwa kutokana na 'kutibu' magojwa sugu yaliyoshindikana hospitalini kwa kutumia 'dawa' itokanayo na kuchemsha mizizi na majani pamoja na imani.
Serikali 'imebariki' tiba hiyo kwa ama kukataa kuifungia isitumike kwa sababu haijathibitishwa kitaalam au kwa kutoa vyombo vya ulinzi kumlinda 'babu' ,dawa zake na wanaoenda pale kupata 'tiba'.
Sipingani na wale wanaoenda pale kupata huduma hii ya kiimani lakini wasiwasi wangu upo pale itakapo gundulika si tiba wala lolote,je serikali itachukua hatua gani.
Je kama ni tiba kweli ba watu wakapona,serikali itafanyaje kuhakikisha watu wengi zaidi wanaipata.
Kubwa zaidi ni je kwakuwa dawa hii ina nguvu kubwa ya kiimani kwa Mungu,siku mchungaji huyu akisema 'ameoteshwa' na Mungu kuwa wale wote walioenda kwake na kupata dawa kisha kupona wanatakiwa kurudi kwake wakiwa sh laki moja na asiyefanya hivyo atakufa ndani ya siku kadhaa,wewe na serikali mtafanyaje.
Najaribu kuona kitu kama hicho kinaweza kutokea,hii ni imani na fumbo.
kama mimi nilivyo mgonjwa na avatar yako!!!hahahahahaha ahahahaha ahahah. yaani ni noma, wabongo wengi ni wagonjwa, najua wengi hawasemi, ila asilimia kubwa walioenda huko kwa babu ni ngoma, hahahahahahaaaaaaaaaaaa, nandiomaana husikii waliopona wakijitokeza hadharani
Mh Sumaye na ***** wameonekana kwa babu wakipata kikombe.
hivi jamani ni kweli?maana nataka kujiaandaa kufunga safari kwa shida yangu nilionayo..mwenye ushuhuda atuambie fatadhali..[/QUOTE
ACHA KUPOTEZA MUDA KUTAFUTA USHUHUDA, NENDA FASTA
Hello,
My greeting to you My name is Shania, single and never married, how are you i hope you are fine and well sounded in good health, i am a good hearten girl loving and caring humble and respectful. i would like to know more about you, please if you do not mind write me with this address (misshania99@yahoo.com)i hope to hear from you soon, because i have something very important to share with you.
Shania
misshania99@yahoo.com
Nimeandika kuhusu Loliondo. Ni juu ya watu/mtu aliyetoka huko na kutoa ushuhuda.Soma hapa Loliondo update « wazo la wiki