Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kizazi cha ma Mwinyi sindio kinapotea taratibu tuko na kizazi cha watu ambao hawajali mambo yasio na faida katika maisha yao.Mbona siku hizi hawaitikii !!!..
ukimuamkia utaskia mambo vipi au shwari