simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,168
Mtoto mwenzako akija unaona kama atamaliza na wewe hautashiba vzuri, ila hii bana haikua nzuri😂 Full kujifunza uchoyo
Huo ulikuwa si uchoyo ila ndo hali halisi..mwanzoni si mnawekewa hadi kwenye sinia sasa watoto wakiongezeka ina maana sinia halitotosha na uwezekano wa kuongezewa inategemeana na huruma ya mwenye jiko