Mambo ya Msingi Sana katika maisha

Kwakweli ni heri ya Mchawi kuliko Mnafiki.
 
Nimeipenda hii
 
14. Usiwadharau WanaCCM hata kama ni Chipukizi maana hao ndio WanaCCM wa Kesho ambao Watampangia nini cha kufanya mtoto wako.
 
Usianzishe mada nyengine na wenzio ndani ya thread yenye mada yake tayari.

Kufanya hivyo unatutibua wasomaji badala ya kupata majibu sahihi kuhusiana na thread husika tunaishia kupata chatting za kisenge ndani ya thread ya mtu.
Sawa boss. Asante kwa mchango wako.
 
Ukila kula kwa mkono wa kulia tu, usishike chai mkono wa kushoto na mkate kulia.
Safi sana mkuu. Alafu mkuu, kuna wale watu unakuta anakatakata vipande vya mkate kisha anatumbukiza ndani ya kikombe cha chai alafu anaanza kuchota kwa kijiko au vidole kisha anakula.

Aisee wanatia sana kinyaa..
 
Ukisalimiana na mtu ukiwa umekaa akikupa salam na mkono simama ndo umpe mkono pia (usi-shakehand) ukiwa umekaa
Yes. Hususan ukikutana na watu wa "High Class" kama wale ndugu zetu wa Oyster Bay pamoja na Masaki..
 
Ukila tafuna huku umefunga mdomo.

Ukila kula kwa mkono wa kulia tu, usishike chai mkono wa kushoto na mkate kulia.

Ukisalimiana na mtu ukiwa umekaa akikupa salam na mkono simama ndo umpe mkono pia (usi-shakehand) ukiwa umekaa
ANOTHER ONE: Ni vema kula na watoto meza moja ili kuweza kuwafundisha table manners..
 
Ukigundua spouse wa rafiki yako ana uhusiano wa nje ya ndoa, mfuate na mkanye ila usimwambie mumewe/mkewe.
Hii ngumu sana, kumkanya mtu hakumtoi usaliti.

Mwanamke au mwanaume anaesaliti agano la ndoa kavunja ndoa. Accountability acha wafanye ndani wao lakini ukweli mwamba ajue kua Shemeji ni mchafu
 
Hii ngumu sana, kumkanya mtu hakumtoi usaliti.

Mwanamke au mwanaume anaesaliti agano la ndoa kavunja ndoa. Accountability acha wafanye ndani wao lakini ukweli mwamba ajue kua Shemeji ni mchafu
Kwa hiyo solution ni kukaa kimya as if you saw nothing. Au sio mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…