Siyo yeye tu mkuu hili janga la “bila wewe mimi siyo kitu” linawaumiza sana wanaume wengi.Will smith kosa alilofanya Ni kumpenda sana mke wake.
dawa ni kunyamaza tu mtu asijue msimamo wako ,hiyo huwa inatesa sana ukianza revenge inaonyesha una stress na umeumia sanaDuuuh , dawa hapo Jamaa anatafuta madem Kama watatu hivi anachepuka nao, kisha na yeye anaenda kwenye kudhihirisha kwenye tv,
Dawa ya moto ni moto tu
Kwamba mkewe nae alikuwa ni kicheche jamaa analipiza ama?dawa ni kunyamaza tu mtu asijue msimamo wako ,hiyo huwa inatesa sana ukianza revenge inaonyesha una stress na umeumia sana
huyu mke wake alikuwa demu wa 2pac ,2pac alipofariki ndo will smith akamchukua ,lakini walikuwa wakigombana mda wote kwamba dem bado hajamtoa 2PAC moyoni mda wote anamwaza na kumrefer back .Kwamba mkewe nae alikuwa ni kicheche jamaa analipiza ama?
Shit usikute pisi inamcheat jamaa haiwezekani imlipue namna hiyohuyu mke wake alikuwa demu wa 2pac ,2pac alipofariki ndo will smith akamchukua ,lakini walikuwa wakigombana mda wote kwamba dem bado hajamtoa 2PAC moyoni mda wote anamwaza na kumrefer back .
Kwahiyo manzi kawa na jamaa kwa ajili ya ustar tu
Mi mwenyewe ndio bado najiuliza ile jiografia kumbe yule mwalimu alikosea kunifundishaKuna mwalimu alinidanganya,alikuwa anasema Marekani sio Ulaya.
ndo imemcheat tayari kwa kutembea na msanii mdogo mwenye miaka 23Shit usikute pisi inamcheat jamaa haiwezekani imlipue namna hiyo
Duh kweli kipenda roho na will akakausha?ndo imemcheat tayari kwa kutembea na msanii mdogo mwenye miaka 23
huyu mke wake alikuwa demu wa 2pac ,2pac alipofariki ndo will smith akamchukua ,lakini walikuwa wakigombana mda wote kwamba dem bado hajamtoa 2PAC moyoni mda wote anamwaza na kumrefer back .
Kwahiyo manzi kawa na jamaa kwa ajili ya ustar tu
Hivi Willow ni mtoto wa kike au sijaelewa hapoWillow Smith ambaye ni mtoto wa kike wa star wa filamu Marekani Will Smith (52) amempongeza mama yake mzazi Jada Pinkett (49) kwa kumwambia ukweli baba yake mbele ya TV Show yao ya " Red Table Talk" kama alichepuka na mwanaume mwingine ambaye ni mwanamuziki August Alsina (28).
jamaa alishamfukuzia dem akiwa na 2pac akashindwa kumng'oa ,sasa pac alipofariki ndo kampata ndo alikokoseaJada ni aina ya mwanamke anaependa thug life, thug love and all stuffs like that, sasa kakutana na Will Mzee wa kupenda sana kazi kujiliza liza tu, nahisi anammiss sana 2pac huko alipo, haya mambo ya "Entanglement" Will ndio wa kulaumiwa, mwanamke sio kumjali sana na kumpenda kama Mungu, Itoshe tu kusema ni ufala kumuonesha mwanamke kuwa huwezi ishi bila yeye, narudia tena ni ufala wa kiwango cha lami.
Let's meet at the top, cheers 🍻