Mambo ya Ulaya bhana. Willow Smith ampongeza mamake kwa kuchepuka

jamaa alishamfukuzia dem akiwa na 2pac akashindwa kumng'oa ,sasa pac alipofariki ndo kampata ndo alikokosea


Aisee, kumbe alianza kumuelewa kitambo sanaa? Basi si ajabu mwanamke anamuendesha hivi ashajua jamaa break hazikabi kwake.


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Sijui huwa mnatuonaje lakini, eti wanawake hawapendi wanaume wanaowajali sana
Huu ndio ukweli wenyewe,wanawake wanapenda sana watu wasiowajali wahuni wahuni,maplay boy yani kwa kifupi pasua kichwa.

Ukimwonesha tu kama umeoza kwake atakupelekesha,yaani hata kosa akifanya yy bado msamaha utaomba ww.
 
Real talk
 
Duuuh , dawa hapo Jamaa anatafuta madem Kama watatu hivi anachepuka nao, kisha na yeye anaenda kwenye kudhihirisha kwenye tv,

Dawa ya moto ni moto tu
jamaa ashachepuka km mara 500,000 hivi sema haongei
 
Ulaya vs America duuh.
 
kuna kipindi jada alikiri kuwa na tatizo la kupenda ngono kupita kiasi, will smith itakuwa kachoka kufanywa sex toy.
Kweli kwenye miti hakuna wajenzi....
huyo Jada angekuta na kina sie....
angekuwa anakula dose kama ya mseto
kutwa mara tatu...
 
Duuuh , dawa hapo Jamaa anatafuta madem Kama watatu hivi anachepuka nao, kisha na yeye anaenda kwenye kudhihirisha kwenye tv,

Dawa ya moto ni moto tu
Aisee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…