Mkuu hii wala isikuumize kichwa. Hii familia hata hao wakiume ni sawa na wa kike tu maana wanat!wa sana. Hivo wee chukulia wote ni wa kike including huyo baba yao.Hivi Willow ni mtoto wa kike au sijaelewa hapo
Hiyo mentality mmejijengea haina ukweliYeah true, mkipendwa sana mwanaume ajiandae kuwa kichaa
Mabaharia shida yenu mlishashindikana, waachieni magentlemen watupende eboooSisi mabaharia tunajua demu haoneshwi kupendwa sana
Ajabu sana.Sijui huwa mnatuonaje lakini, eti wanawake hawapendi wanaume wanaowajali sana
NakubaliHuu ndio ukweli wenyewe,wanawake wanapenda sana watu wasiowajali wahuni wahuni,maplay boy yani kwa kifupi pasua kichwa.
Ukimwonesha tu kama umeoza kwake atakupelekesha,yaani hata kosa akifanya yy bado msamaha utaomba ww.
kuna kipindi jada alikiri kuwa na tatizo la kupenda ngono kupita kiasi, will smith itakuwa kachoka kufanywa sex toy.
Wote wawili walishakuwa wahuni tu mbona, Will smith mpaka alizaa nje kabla ya kukutana na Jada, Jada nae alikuwa na kundi la wahuni kina Queen Latipha yule msagaji maarufu na bado ni marafikiKwamba mkewe nae alikuwa ni kicheche jamaa analipiza ama?
Duuu, hii ni mpya mkuu.Will smith kosa alilofanya Ni kumpenda sana mke wake. Wanawake hawapendi wanaume wanaowajali sana.
Kwani Marekani tangu lini imekuwa Ulaya ?Kuna mwalimu alinidanganya,alikuwa anasema Marekani sio Ulaya.
Swala la roho mbya kwa watoto wa kike yawezakuwa liko hadi huko mambeleHAPA Nani ni Nani Namjua mmoja tuuView attachment 1593716
Hakuna wanawake wanaojali na kuheshimu 'kujaliwa sana' na wanaume zao?au wote wapo hivyo?Will smith kosa alilofanya Ni kumpenda sana mke wake. Wanawake hawapendi wanaume wanaowajali sana.
Hili lipoje kwa upande wako dada?ni kweli au lah?wewe unapenda mwanaume akujali vipi?Sijui huwa mnatuonaje lakini, eti wanawake hawapendi wanaume wanaowajali sana
Kutoka kulia, Will Smith, Jada Pinket, Jaden Smith, Willow Smith wamwisho simjui jina ila naskia ndio mtoto wa kwanza wa Will SmithHAPA Nani ni Nani Namjua mmoja tuuView attachment 1593716
Na Mimi nakazia hapo.ni ufala.Jada ni aina ya mwanamke anaependa thug life, thug love and all stuffs like that, sasa kakutana na Will Mzee wa kupenda sana kazi kujiliza liza tu, nahisi anammiss sana 2pac huko alipo, haya mambo ya "Entanglement" Will ndio wa kulaumiwa, mwanamke sio kumjali sana na kumpenda kama Mungu, Itoshe tu kusema ni ufala kumuonesha mwanamke kuwa huwezi ishi bila yeye, narudia tena ni ufala wa kiwango cha lami.
Let's meet at the top, cheers 🍻
Hujamuelewa jamaa unatukana tuKwani Marekani tangu lini imekuwa Ulaya ?
I want to be as foolish as you are but I cant reach you.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasema alidanganywa kwamba Marekani sio UlayaHujamuelewa jamaa unatukana tu