Mambo yaliyokuwa yanakuudhi nyumbani ulipokuwa mdogo...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uchoyo mbaya sana
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hiyo ya kuosha vyombo kumbe umetukuta wengi aisee
 
Kuwa mzoa ma.vi ya kuku arafu wageni wakija wanachinjiwa watoto tunapewa miguu na shingo.
 
Kurudi nyumbani toka shule halafu nisikute kiporo cha wali maharage na chai....nilikuwa ninakasirika sana.
 
Kaz za nyumbani zilinifanya nipende shule yan wek end nilikua naona kama mwez . Nilikua cpend tufunge shule kwa kweli mzee wetu alitufanya tusipende hom hata tukisafili tunaomba mungu tubak uko uko. Dah
 
Unapewa kipande kimoja cha nyama unakishikilia mkono wa kushoto huku wa kulia ukikata mitonge; hukitafuni hicho kipande hadi ushibe ugali.

Ukishashiba ugali unakaa pembeni unaanza kukusurubu kile kipande; ukimaliza kukila ukijicheki mkono huo uliokuwa umeshika hicho kipande cha meat unakuta kuna michirizi ya michuzi hadi kwenye kiwiko.
 
Wenzangu wamekuja kunipitia home nikacheze chandimu/sodo/sambisambi, Mzee ananituma niende mashine kukoboa na kusaga. Nilikuwa namuona Mzee ni katili sana..
 
mm nilikua nachukia napoambiwa niendeshe gar kwenda gerej wakat sin lesen
 
Wenzangu wamekuja kunipitia home nikacheze chandimu/sodo/sambisambi, Mzee ananituma niende mashine kukoboa na kusaga. Nilikuwa namuona Mzee ni katili sana..
hakuna kipindi kinaudhi kama kiangazi cha kupiga mahindi hapo hata kama ulikuwa hupendi ile twisheni ya mathe ya jioni school utaipenda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…