GREAT NAME
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 1,078
- 1,718
Mimi nilikuwa nakereka kwa mambo haya:
1: Kurudi home mchana nakuta madha anachambua mboga halafua ananiambia nikawashe jiko na inabidi nirudie shule,
2: Anapita home msichana tunayesoma naye darasa moja hata sijamwongelesha, madha anaongea kwa sauti ya juu 'We hivi leo si ndio zamu yako kuosha vyombo’
Duuuh, nilikuwa nakasirika vibaya! Wewe je?
1: Kurudi home mchana nakuta madha anachambua mboga halafua ananiambia nikawashe jiko na inabidi nirudie shule,
2: Anapita home msichana tunayesoma naye darasa moja hata sijamwongelesha, madha anaongea kwa sauti ya juu 'We hivi leo si ndio zamu yako kuosha vyombo’
Duuuh, nilikuwa nakasirika vibaya! Wewe je?