Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasome kwanza ndio urudiUmeelewa nini?
Acha ujinga nenda rudia coment yangu kwa wahusika.Mnahaha kuitakia mabaya nchi!!!..halafu kesho mtazidi kulia Hali ngumu
Hiyo siyo Mara ya kwanza wamarekani kutia tahadhari,huko nyuma wakitoa lakini akaja will Smith,Cynthia rothrock na Chuck Norris...hiyo lugha iliyotumika hapo nafahamiana nayo tangu 1991Acha ujinga nenda rudia coment yangu kwa wahusika.
Pia inaelekea wewe lugha imekupiga chenga.
Hao ni wamarekani na website yao.
Vyombo husika nchini wanao wajibu wa kukaa na wahusika ili kuona wapi pa kufanyia marekebisho.
Kati yake na ww, mbona ww ndio chawaChawa huwa hafichwi wala hajifichi. Ni aibu kwa mzazi wa watoto wawili au watatu kufanywa chawa na mzazi mwenzako kwa sababu ya tumbo lako. Haya bimkubwa kachukue chako mapema kwa aliekutuma kuandika ushuzi huu, ili uwahi mihogo ya watoto pale jangwani
View attachment 2203387
Mleta mada anaonesha wazi kuwa anaweza kuwa tayari kumtelekeza mume wake na watoto wake, ili akimbilie kwa bwana atakae muahidi ahueni ya tumbo lake.Hiyo siyo Mara ya kwanza wamarekani kutia tahadhari,huko nyuma wakitoa lakini akaja will Smith,Cynthia rothrock na Chuck Norris...hiyo lugha iliyotumika hapo nafahamiana nayo tangu 1991
Dada angu huu muingiliano wa nchi yetu na majirani zetu umesababisha tuwe na vijana wengi kutoka katika nchi hizo ambao wakifika humu huiga tamaduni, lugha na life style ya watanzania na baadae na wao kujifanya watanzania kwa kuanza kuandika ushuzi ushuzi wanaoambiwa waandike na nchi zao kwa kisingizio cha uhuru wa kutoa maoni. Bahati nzuri siku zinavyokwenda ndo jinsi na watanzania tunazidi kuwang'amua na kuwapuuza, japo wamefungua IDs kumi kumi za kusapotiana ujinga wao lkn jamaa amekosa Like hata tatu.Mnahaha kuitakia mabaya nchi!!!..halafu kesho mtazidi kulia Hali ngumu
Umeelewa dhana ya post? Tumeenda kuzindua royal tour Marekani ili kuvutia wao kuja huku, lakini wao na serikali yao bado wameweka tahadhali kwa watu wao wanaotaka Kuja huku na ndio dhana ya postDaaaaah Waafrika . hivi ni lini Marekani watajisifu wamepostiwa Na Website ya Tanzania?
Tafuteni vya kwenu Kujipendekeza Kuishe
Kaoshe kwanza maku yako, afu ndo uje uni quote msukule mkubwa wee. Mleta mada na wewe ni mtu mmoja mwenye ID mbili. Nchi za jirani zimekuwa zikiwatumieni nyinyi mateja kurudisha juhudi zetu za maendeleo nyuma. Sasa kawambieni hao waliowatuma kwamba ule uongo wao wa miaka na miaka kuwa mlima Kilimanjaro upo Kenya safari hii utagonga mwamba, kwahiyo watafute njia nyingine za kihalali kuleta watalii nchini kwao. Wanywa viloba mnakera sana kwa kukubali kuuza thaman ya nchi yenu kwa sababu ya njaa zenu.Kati yake na ww, mbona ww ndio chawa
Kibunzi kishafika mwisho, sasa nakichomoa. Endelea kuwa mtumwa na mtasigana wa wakenya.Huna akili