Mambo yaliyotakiwa kuzingatiwa kabla ya “Royal Tour”

Unatangazia dunia kuna magaidi nchini kwako kisha unataka waje kutalii, NONSENSE.
 
Watoe kwanza Tamko kuwa ile ishu ya Ugaidi ilikiwa ya mchongo.
 
Juhudi zote zimefanyika kwenye RT kwa gharama kubwa na muda halafu wanatoa onyo 19 Aprili 2022 ?? kutisha watu wao wasije. USA wanafiki sana kama sio urafiki wa mashaka.
 
Mandela alitembelea Marekani na Uingereza baada ya kusafishwa kwamba sio terroristi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…