Mambo yanayo shusha thamani ya mwanamke katika jamii(Duniani)

Mambo yanayo shusha thamani ya mwanamke katika jamii(Duniani)

Haya ni mambo kadhaa yanayo mfanya mwanamke thamani yake ishuke katika jamii.

1. Mahari

2. Ndoa

3. Kutegemea mwanaume kumhudumia( wenyewe wanaita kucare)

4. Haki sawa( wenye wanaita 50/50)

5. Kukosa akili timamu (kwa wanawake wa kisasa)

Note: kutakuwa na nyongeza ( update ipo stay stunned )
Hiyo niliyobold ndio sababu kuu hizo zingine ni nyongeza, ndio maana nasisitizaga miongoni mwavile vipimo muhimu na kipimo cha akili kiwepo kabla ya ndoa.
 
50/50

Ukahaba

Kutotambua nafasi yao katika jamii

Kutotambua kuwa wao ndo hufanya jamii iwe bora au mbaya kutoka na malezi
 
Haya ni mambo kadhaa yanayo mfanya mwanamke thamani yake ishuke katika jamii.

1. Mahari

2. Ndoa

3. Kutegemea mwanaume kumhudumia( wenyewe wanaita kucare)

4. Haki sawa( wenye wanaita 50/50)

5. Kukosa akili timamu (kwa wanawake wa kisasa)

Note: kutakuwa na nyongeza ( update ipo stay stunned )
umalaya, uswahili (kama wale waimba taarabu), ugomvi, ujinga na uchafu ndio vinashusha thamani. hayo uliyotaja cha mtoto. binafsi, mwanamke yeyote mwimba taarabu au anayevaa madera huwa naamini ni malaya, ana matusi na anapenda kwampalange, hivyo hua simhitaji kabisa.
 
Wanakua wachungu sana utafikiri wanaunguzwa moto ukiwanyima hujielewi..
Wewe unajielewa tafuta zako.
 
Back
Top Bottom