Mambo yanayoashiria kuhusika kwa Zitto Kabwe na ACT Wazalendo na ufisadi wa NSSF

Mambo yanayoashiria kuhusika kwa Zitto Kabwe na ACT Wazalendo na ufisadi wa NSSF

chuuma

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2015
Posts
363
Reaction score
557
1. Gazeti lake la Jamvi la Habari linalomilikiwa na ACT/Zitto limetoa story mara 3 kwa msisitizo kuonesha ama Nssf hakuna ufisadi na kama upo basi Dr Dau hausiki.

2.Kwa miaka yote Zitto akiwa Mwenyekiti PAC hakuwahi kusema ufisadi wowote Nssf wakati ni kichaka cha wizi kama ilivokuja kudhihirika

3.Yeye binafsi na kampuni yenye mahusiano naye ya LekaDutigite kwa kiasi kikubwa imetajwa bungeni kujipatia mamilioni ya fedha Nssf

4. Gazeti la Mwananchi leo limemtaja katika uk4 kuwa alivishambulia vyombo vya habari mwanzoni mwaka huu viliporipoti Ufisadi wa mradi wa eka1 kwa 800m. (au gazeti hili lina chuki na zzk?).

5.Tamko la ACT leo badala ya kuishia kumtetea Kiongozi wao bado wamesisitiza Nssf hakuna ufisadi bila kujali kama Mwenyekiti wa bodi Prof Wangwe mbele ya Kamati ya PAC amekiri ufisadi huo ktk manunuzi ya arhi hiyo na hata chama chenye Serikali kimekubali jana kuwa ununuzi wa eka1 kwa 800m ulikuwa ufisadi.haijulikani ACT wana maslahi gani zaidi ya CCM wenye serikali.

6.Makada waandamizi Prof Kitila na Mchange wote wamepambana vikali kwenye mitandao ya kijamii kujenga picha kwamba Nssf hakuna ufisadi

7.Udalali mkubwa wa Zitto kupinga fao la kujitoa ni ushahidi kuwa alijua kwa ufisadi waliofanya Nssf isingekuwa na fedha ya kulipa wanaojitoa ndio maana akapambana kwa nguvu zote
 
NSSF kuwepo na ufisadi kusiwepo ufisadi "FAO la kujitoa ni haki ya mwanachama"
 
kweli ccm hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumuuu
 
1. Gazeti lake la Jamvi la Habari linalomilikiwa na ACT/Zitto limetoa story mara 3 kwa msisitizo kuonesha ama Nssf hakuna ufisadi na kama upo basi Dr Dau hausiki.

2.Kwa miaka yote Zitto akiwa Mwenyekiti PAC hakuwahi kusema ufisadi wowote Nssf wakati ni kichaka cha wizi kama ilivokuja kudhihirika

3.Yeye binafsi na kampuni yenye mahusiano naye ya LekaDutigite kwa kiasi kikubwa imetajwa bungeni kujipatia mamilioni ya fedha Nssf

4. Gazeti la Mwananchi leo limemtaja katika uk4 kuwa alivishambulia vyombo vya habari mwanzoni mwaka huu viliporipoti Ufisadi wa mradi wa eka1 kwa 800m. (au gazeti hili lina chuki na zzk?).

5.Tamko la ACT leo badala ya kuishia kumtetea Kiongozi wao bado wamesisitiza Nssf hakuna ufisadi bila kujali kama Mwenyekiti wa bodi Prof Wangwe mbele ya Kamati ya PAC amekiri ufisadi huo ktk manunuzi ya arhi hiyo na hata chama chenye Serikali kimekubali jana kuwa ununuzi wa eka1 kwa 800m ulikuwa ufisadi.haijulikani ACT wana maslahi gani zaidi ya CCM wenye serikali.

6.Makada waandamizi Prof Kitila na Mchange wote wamepambana vikali kwenye mitandao ya kijamii kujenga picha kwamba Nssf hakuna ufisadi

7.Udalali mkubwa wa Zitto kupinga fao la kujitoa ni ushahidi kuwa alijua kwa ufisadi waliofanya Nssf isingekuwa na fedha ya kulipa wanaojitoa ndio maana akapambana kwa nguvu zote
ndo maana dogo alienda kuwowa kule kwa boss kumbe boss aliamua kutoa mwanawe kwasababu walikuwa partner in crime.
 
Sasa kama NSSF kulikuwa na Ufisadi kwa nini basi DG wake wa miaka mingi yaani Dr Dau ateuliwe Ubalozi na serikali ile ile inayopambana na ufisadi?
Unajua siasa za kiafrika unafikia sehemu inabidi zichezwe kama game la draft vile, yaani unaweza kuaona mpinzani wako anakupa kete unakula tu mpaka anakupa king alafu anazila zote anazimaliza.
Kwa hiyo kulingana na mtandao uliokuwa umeshajengwa na baadhi ya watu inabidi 'umgawie kete' kadhaa kwanza alafu ndio umshinde. Sasa huyu mkuu kama yuko nje ina maana akitaka kurudi nchini lazima aombe kibali na akipiga simu zinaweza kudukuliwa kitu kitakachofanya ugumu kuingilia mchakato wa kutumbuliwa. Kwa hiyo linaweza kufanyika kosa dogo la makusudi la kugawa cheo ili kukunasa vizuri. Any way, kwa sasabu wizi wa Tz umeshamiri kwenye siasa basi zote siasa.
 
My brother Zitto, kama kuna mishen uliyopewa na ccm hukuimaliza Tafadhali malizia kazi uliyopewa.

Ccm ni kama Shetani, huwa hatoi bure. Lazima ulipe ulichokitumia
 
Sasa kama NSSF kulikuwa na Ufisadi kwa nini basi DG wake wa miaka mingi yaani Dr Dau ateuliwe Ubalozi na serikali ile ile inayopambana na ufisadi?
Chama chetu gamba la nyoka la mdimu kilifanya yale mambo yetu, si unajua tena uchaguzi una mambo yake, hivi kwa mfano akimwaga mboga na ugali wake unazani itakuwaje vile.
 
ndi mana wanatunyima mafao yetu kumbeee
 
Back
Top Bottom