Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
Ccm wacheni kubabaisha watu. Zito linamhusu nini jili...
Dau kapandishwa cheo..kuwa balozi kwa kazi nzuri.
Imekua kawaida ccm kuweka makada kwenye mashirika ilo kukiwezesha chama chao.
Zito halimuhusu....hi ni kutakaka kubadilisha lengo. Ccm na ufisadi ni pete na kidole tusibabaishane.
Wakuu wote huteuliwa na serikali ya ccm na mwenyekiti wa ccm
Dau kapandishwa cheo..kuwa balozi kwa kazi nzuri.
Imekua kawaida ccm kuweka makada kwenye mashirika ilo kukiwezesha chama chao.
Zito halimuhusu....hi ni kutakaka kubadilisha lengo. Ccm na ufisadi ni pete na kidole tusibabaishane.
Wakuu wote huteuliwa na serikali ya ccm na mwenyekiti wa ccm