Mambo yanayoashiria kuhusika kwa Zitto Kabwe na ACT Wazalendo na ufisadi wa NSSF

Zitto ni jangili kama majangili mengine
 
Nilikuwa nampenda Zitto kumbe boya hivi.

Sikujua.

Mtu yeyeyote anayemsema marehemu ni shetwaini.

Zitto kumbe shetwaini baya kwelikweli
 
Mnavyolumbana hivi humu nabaki kwashangaa tu WTF! Nimeanza shifti ya food delivery masaa matatu yaliopita tayari nimeshapiga shifti 4, sasa hivi ninaning'iniza kaynday tu kwenye babywalker changu nikivizia shifti nyingine nikisoma jinsi mnavyolumbana humu.

Kumbuka shifti moja ni kama elfu 20 Madaf.

nyboma mmteule
 
TIMU FULANI (HAYATI) MTAPATA TABU SANA....,
ZITTO KUISEMA KWELI IMEKUWA KAMA MWIBA KWAO,NAHITAJI KADI YA ACT WAZALENDO HARAKA SANA.
ZITTO NI KIJANA SAFI KABISA.
 
Kama unaishi kihalali ni pesa ya kawaida ila kama unaishi kama panya ni pesa nyingi, hongera Maghayo uje ufungue hata ofisi ya udobi huku bongo umwage ajira kwa vijana wenzako
 
Hongera Mkuu. Sie wengine hatuna kazi maalumu, kila siku inajitegemea, tunaishia kupewa promise
 
Maghayo Vita ni Vita mura, wewe pambana lakini kumbuka kuwekeza nyumbani ili yakitokea huko kama ya Ukraine unarudi home kutulia. Lakini pia ukumbuke kupata muda wa Kujitoa Out na kuupunguzia mwili fatique ya kazi ngumu. Mind U hivyo Vibibi vya Kizungu achana navyo. Ukizidiwa agiza Kimwana toka kwa Putin maisha yaendelee, utafutaji hauna Chama ndugu yangu Mwanaume Anasifiwa Kazi Pambana🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…