ha haaaa, I hope this is a compliment...... Thanx in advanceKama hizi comment zako zinafanana na maisha unayoishi.Then you are unique
Kama hizi comment zako zinafanana na maisha unayoishi.Then you are unique
HG anapo nona kuliko mama mwenye nyumba na anakuwa amejaa matishititi kuliko mama mwenye nyumba hili unalizungumziaje?
House girl nae ni mtu kama anataka kwenda na wakati umlazimishe kuvaa magunia eti kisa alizaliwa kwenye familia fukara wewe ukamuajiri kuwa hg....acheni hizo....
kuna kipindi tulihamia mkoa fulani, majirani zangu hawakujua kama mdada niliyekuwa nakaa naye ni hg, walidhani ni mdogo wangu tu ambaye alikuja kunisaidia. kabinti kalikuwa bomba halafu kanavalia balaa. kikubwa kalikuwa na heshima saaaana mtaani. wamama wengi sana wakawa wanakapenda sana.Mimi mbona hg wangu ana piga tight za nguvu na an mvuto kinoma?????
Mna uhakika kuwa hao wanaomimbishwa wana mvuto????
House girl nae ni mtu kama anataka kwenda na wakati umlazimishe kuvaa magunia eti kisa alizaliwa kwenye familia fukara wewe ukamuajiri kuwa hg....acheni hizo....
Malaya ni malaya tu atapiga hata hg wa jirani...kuweni na amani msijitie roho mbaya kisa mnalinda mume...kunguru hafugiki
Umenikumbusha kuna mama mmoja wiki iliyopita nilimsikia kwa masikio yangu akimgombeza hg marufuku kukatiza machoni mwa mmewe
rafiki nitake radhi........:A S angel: hawa huwa wanaishi maisha yale yale, rejea mlokole anacho hubiri na anavyo ishi
Ni roho mbaya tu mi naita. Mimi napiga tight navaa mini...hg binti kigoli nimnyime uhuru wa mavazi kisa kijakazi yeye kwake jikoni inahuu...
Kwanza namuombea huyu binti nile naye apate mume na yeye awe na familia...akivaa gunia mume atapata???
Ma hg tuwachukulie kama wadogo zetu jamani...wanatutunzia watoto afu kutwa tukae kuwawazia vibaya. eti kupendeza ni dhambi????
Na ukichunuza haop wanaopinduliwa ndio hao hao wanaoweka masharti lukuki ndani.
rafiki nitake radhi........
naomba nisiliongelee hili nisije nikaambiwa mimi mdini bure,
si unajua tunakoelekea udini litakuwa kosa la jinai?
safi......Nimefuta kauli ya walokole
amkimbie baba mwenye nyumba kwani ana ukoma?Eti marufuku kama baba anafika hg awe anamkimbia baba kama simba akienda jikoni hg awe anamkimbia na kujificha
Eti marufuku kama baba anafika hg awe anamkimbia baba kama simba akienda jikoni hg awe anamkimbia na kujificha
N huku ni kumdhalilisha mumeo kwamba labda ni ki.to.mbi sana.
Nina mke mwenzangu (mke wa shemeji yangu) ana hiyo tabia sana. unakuta anaanza kumfokea hg mbele ya mumewe kisa kwa nini aliomba ela ya sabuni kwa baba hakusubili yeye arudi....anasema kabisa nambieni mna uhusiano gani? Mume wake mwenyewe ngumi mkononi analishwa vibao faster mbele ya huyo hg...sasa nikimuangalia huyu mke mwenzangu sipati jibu sijuhi elimu ndogo au ni wivu...huoni soo kumshuhudia mtu uongo.
amkimbie baba mwenye nyumba kwani ana ukoma?
mi naona ni kutojiamini.......N huku ni kumdhalilisha mumeo kwamba labda ni ki.to.mbi sana.
Nina mke mwenzangu (mke wa shemeji yangu) ana hiyo tabia sana. unakuta anaanza kumfokea hg mbele ya mumewe kisa kwa nini aliomba ela ya sabuni kwa baba hakusubili yeye arudi....anasema kabisa nambieni mna uhusiano gani? Mume wake mwenyewe ngumi mkononi analishwa vibao faster mbele ya huyo hg...sasa nikimuangalia huyu mke mwenzangu sipati jibu sijuhi elimu ndogo au ni wivu...huoni soo kumshuhudia mtu uongo.
Duh! Kwa TAFSIDA we kiboko! Hata hivyo, I have no comment...Uroho tu wa PAPUCHI, mengine ni geresha tu
ha haaaa, sipati picha....Mama mwenye nyumba ndiye katoa maelezo hayo hg anapaswa kuto onekana machoni mwa baba mwenye nyumba asije akamega
mi naona ni kutojiamini.......
sipati picha hg kila akikumbuka vibao anavyoshikwa na kicheko, lol!
kwa hiyo kama kitu kimeisha na wewe haupo hg asimamishe kazi zoote akusubiri wewe wakati baba yupo?