Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,828
- 1,712
aaah ndio mana kuna division of labor! bibie apige kazi za ndani mheshimiwa anapiga za nje
okey kama ni hivyo housegal amsaidia mama za ndani na wewe houseboy akusaidie za nje,SORTED
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aaah ndio mana kuna division of labor! bibie apige kazi za ndani mheshimiwa anapiga za nje
okey kama ni hivyo housegal amsaidia mama za ndani na wewe houseboy akusaidie za nje,SORTED
Mambo mengine yaliyosababisha best wangu kutembea na house girl ambaye hata si mzuri kama mke wake: Alisema yafuatayo
1. House girl ndiye anayenifungulia geti huku wife akiwa chumbani
2. house girl ndiye anayenipokea laptop na vitu mbalimbali ninavyokuja navyo jioni kwa ajili ya familia
3. House girl huwa wa kwanza kufungua milango yagari kuangalia nimebeba nini ili apeleke ndani.
4. House girl ndiye anaye nipikia na kuandaa chai
5. Jioni nikiwa sebuleni house girl ndiye anaye niandalia chakula na chai ya jioni.
6. house girl ndiye anaye nichemshia maji ya kuoga na kuniwekea mlango wa chumba chetu
7. House girl ndiye anayefua ngua zangu nyingi
8.House girl ndiye anayefungua milango asubuhi na kufunga jioni
9. House girl ndiye anayeleta chakula mezani yeye wife anasema tu KARIBU
10. House girl ndiye anayefanya usafi wa nje na ndani ya nyumba(isipokuwa chumba chetu)
11. House girl ndiye anaye nisaidia ku pasi nguo zangu.
Hivi kwa staili hii huyu mama mwenye nyumba au Mke ana haki gani ya kulalamika pale mumewe anapoamua ku mis behave na huyu house girl wakati yeye ni kama mama.
Mambo mengine huwezi kuzia ila unaweza kupunguza
1. Kwanini uchukue beki tatu Bomba Mbayaaa! Kisu cha Hatari jishepu kama Agness Masogange afu utegemee Mumeo asisababishe! Aaaaaah wappi! Ukimkabidhi Fisi bucha hata kama kashiba kuonja sunna. Chuku dada pande la mtu, mweusi tiii, Nido saa kumi jioni. Hata Hubby akimuona tu ANAREPEL! automatically.
2. Ndumbaaaaaaa! Mabeki tatu wengi sanaa wanatumia kiringe kuchukua waume za watu, akipika lazima atie black science kidogo. Utatupiwa virago hivi hivi unajiona. Au kila siku ugomvi hauishi mumeo, kitu cha Nuksi hicho ushatupiwa na beki tatu.
3.Mavazi unayomruhusu beki 3 wako. Yaani unamuachia kabisaa beki 3 apige tight, mara pensi, mara mini, inaonesha umesahau seein is believing! Hubby akiona ule mpaja umenona nona lazima abelieve there is more in there! Apige sketi za marindaaaa na tshirt.
4. Mazoea na mumeo! Yaani unaruhusu kabisa wakae wapige story, eti hela ya matumizi amuombe mumeo we mama upo tu, Alaaaaaaaaa! Humo humo kunako mazoea anachakachuaamo!
All in all kikulacho ki nguoni mwako! Na asilimia kubwa sanaa ya wanaume ni n.y.o.k.o (Take it as a compliment) vibayaaa mno, wako rijali kweli kweli! So kumfuga beki tatu bombaaa kakuzidi, afu unamruhusu apige vicataloge, afu ukete maza house gangstar mwenzio full kujicream, udi na nini lazima Mapinduzi bubu yatokee!
Nae pi mwanamke atii, she got same needs as you the wifey!!!!!!!!!!!
All im sayin is dont patronise with the enemy! You better give her prior notice that jst incase you sense she is double crossin you somebody will surely get shot! And it aint your dear husband!
chanzo kikubwa niwanawake we2 2lio waoa.wew mwanamke utamalizaje mwez mzima mmeo ajakuomba kusex?nawew ume2lia?nyabafu
Amini nakwambia FP wamama mlio wengi mkisha olewa basi kila kitu mnastaafu amini na kwambia
Mmmmh![]()
NI siku nyingine tulivu kabisa tunakutana tena kupitia safu hii nikiamini umzima bukheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku.
Mimi nitakuwa mchoyo wa shukurani kama sitachukua nafasi hii kumshukuru Mungu kwa mema ambayo amekuwa akinitendea katika kila siku ya maisha yangu.
Ndugu zangu, malalamiko ya baadhi ya mabinti wanaofanya kazi za ndani mahausigeli kuwazidi kete baadhi ya wanawake kwa kuwachukulia waume zao yamekuwa yakiripotiwa kila mara.
Si ajabu hata wewe unayesoma makala haya aidha umeshawahi kumsikia rafiki kama siyo jirani yako akikorofishana na hausigeli wake au kushuhudia hausigeli akifumaniwa na bosi wake.
Hakika ni matukio ya aibu sana. Inafika wakati unajiuliza inakuwaje mume anamtongoza na hatimaye kutembea na hausigeli wake? Ameshawishiwa na kitu gani au amekosa nini kwa mkewe mpaka anafikia uamuzi huo?
Kimsingi linapotokea tukio kama hili, wengi hujiuliza maswali mengi sana na majibu yake huwa ni magumu kupatikana. Hii ni kwa sababu ni jambo lisilotarajiwa kufanywa na mtu aliyestaarabika. Hata hivyo, tuna kila sababu ya kujua chanzo cha tatizo hili.
Nitajaribu kuzungumzia kipengele kimoja baada ya kingine kuhusiana na yapi yanayotajwa kuwasukuma baadhi ya wanaume kutembea na mahausigeli wao.
Wanawake wanajitakia
Ni jambo ambalo limekuwa likilalamikiwa sana na baadhi ya watu kuwa, inakuwaje hausigeli anapewa majukumu ya kumhudumia mume wakati mke yupo?
Ni ukweli usiofichika kwamba, kuna baadhi ya wanawake ni malimbukeni wasiojua jinsi ya kuitunza ndoa. Hawajui namna ya kumshika mume na kumuepusha na vishawishi vinavyoweza kumfanya akamsaliti.
Ndugu zangu, kitendo cha mke kumruhusu hausigeli amfulie mumewe nguo zake za ndani, amuandalie chakula, ampelekee maji ya kuoga na mambo mengine kama hayo ndivyo vimekuwa vikichochea usaliti huu.
Kama mke hataki kusalitiwa kirahisi basi ajitahidi sana kuchukua jukumu la kufanya yale ambayo kwa kiasi kikubwa yakifanywa na hausigeli huweza kujenga ukaribu wa kimapenzi kwa mumewe. Kamwe usibweteke, ukibweteka hausigeli wako atakupindua na itakuwa ni aibu kwako.
Mahausigeli micharuko
Hivi inaingiaje akilini mke kuridhia kumuajiri hausigeli ambaye kwa macho tu anaonekana hajatulia? Unamuajiri hausigeli ambaye siku ya kwanza tu anataka umpe sehemu ya mshahara wake akafanye shopping halafu unakubali, unajitaka kweli?
Mwanaume akiwa mchepukaji hata umpe voda,airtel nk na tundu la pua na sikio akutie bado atachepuka tuuuu...nikiwa wife wl always do what i can do,ukitaka kuchepuka baba wahiii njia iko wazi presha za kazi gani...utakaba nyumbani kazini wanamchukua kiulainiiiiii,inahuuuu...??
Haina tofauti na mwanaume ambae unakuta ni kicheche balaa yet anataka wife mwaminifu au bikra kabisa,inahuu??
Anaangalia movieWakati housegirl anafanya yote haya huenda:
1. Mama yuko kazini akitafuta pesa za kusupport familia yenu
2. Mama yuko ndani anaogesha watoto
3. Mama yuko ndani anasaidia watoto na homework
4. Mama anauguza mtoto
5. Mama kapeleka mtoto hospitali
6. Mama nae ndo amerudi home, anaoga ajiweke safi kabla mumewe hajarudi
7. Mama anaandaa watoto kwa ajili ya shule asubuhi
8. Mama inabidi arudie kufua au kupasi nguo zako sababu housegirl kavuruga mambo tena.
9. Mama anajiandaa kwa ajili ya kazi kesho
10. Mama anaumwa ( shocking!!!! She is human after all).
Point yangu ni mwanamme mjinga anaona mambo juu juu tu, haoni afanyayo mke wake. Anaangalia asichokifanya. Kutembea na housegirl ni laana, uvivu na ujinga sababu unaibomoa ndoa na familia yak. Imagine watoto wako wakifahamu? Mtu yoyote anaweza kufua, kupika n kubeba viroba, lakini si wote watakaoweza kukutunza Wewe na watoto wako.